Saturday 6 December 2014

DIAMOND AHAMIA MAREKANI

Baada ya kutoka South Africa na kurudi nyumbani kuleta zawadi alizonyakuwa hivi karibuni na

 kurudi nyumbani kuleta zawadi alizonyakuwa hivi karibuni ,msanii huyu nguli wa Bongo fleva leo ameshapaa kwenda kwa Obama na Leo anatarajia kufanya shoo moja ya hatari sana kwa ajili ya Uhuru wa Tanzania...Cheki matangazo ya shoo atakazofanya hapa chini.....






No comments: