Saturday 6 December 2014

MCHEKI RAIS JK AKIPIGA MAZOEZI IKULUUUUUUUUUU




Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifanya mazoezi leo katika viwanja vya Ikulu kufuatia ushauri wa madaktari waliomtaka afanye hivyo mara tatu kwa siku ili kuendelea kuimarisha afya yake baada ya kufanyiwa upasuaji mwezi uliopita katika hospitali ya Johns Hopkins nchini Marekani.

(Picha hii imepigwa na Freddy Maro)

No comments: