Saturday 17 January 2015

WANAFUNZI 84 UDOM WAFIKISHWA MAHAKAMANI...


Wanafunzi 84 wa programu maalum ya stashahada ya ualimu katika Chuo Kikuu cha Dodoma(udom) waliofanya mgomo na kuandamana kushinikiza kulipwa madai yao, juzi wamepandishwa kizimbani kwa kosa la kukusanyika bila kibali maalum.

TANZANIA SIO NCHI MASKINI...VIGOGO BANDARINI WANALIPWA POSHO LAKI 5 KWA SIKU TANGU 2011

Wakati Msajili wa Hazina amebariki posho mpya za safari za ndani kwa wafanyakazi wa Mamlaka ya Bandari Nchini (TPA) kuwa Sh 500,000 kwa siku kuanzia Januari 2, mwaka huu, imebainika kuwa walishaanza kulipana hivyo tangu mwaka 2011.

WATUHUMIWA WENGINE 3 WA SAKATA LA ESCROW WAFIKISHWA MAHAKAMANI

Maafisa watatu mmoja wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Mamlaka ya Mapato (TRA) pamoja na wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) leo wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuhusiana na  kashfa ya akaunti ya Tegeta Escrow.

WANAOPENDA KUPIGA PICHA ZA SELFIE KUMBE WANA TABIA HII YA KIPEKEE....


Kuna utafiti uliofanywa na Ohio State University Marekani, unahusu masuala ya athari zinazoweza kusababishwa na watu kupendelea kupiga Selfie na kupost kwenye mitandao kama Istagram. 

CHEKI PICHA ZA WATOTO WANAOFANANA NA MASUPASTAA DUNIANI


 Kuna msemo usemao duniani wawili wawili, hivi uliwahi kuambiwa kuna mtu unafanana naye au kukutana na mtu ambaye anafanana au anafanana na mtu unayemjua?

KUTANA NA MWANAMKE ALIYEJIGUNDUA NI MJAMZITO SAA MOJA KABLA YA KUJIFUNGUA

Wanawake wanapokuwa wajawazito huwa na dalili mbalimbali ambazo zinashiria kwamba kuna kiumbe kinatarajiwa kuzaliwa baadaye.
Lakini story ya mwanamke huyu inaweza kukushtua kidogo, alishindwa kufahamu kama ni mjamzito kwa kipindi chote cha miezi tisa. 

AWAUZIA WATEJA WAKE MKOJO BADALA YA POMBE

Jamaa mmoja amefikishwa mahakamani Uingereza, kwa kuwa kitendo alichokifanya wengi hawakupendezwa nacho!

Nicholas Stewart alitumia chupa zenye nembo ya Smirnoff, Jack Daniels pamoja na Vodkaili watu wasigundue kwamba anachowauzia haikuwa whisky, chupa hizo zilijazwa mkojo.

MCHEKI MWANAUME MWENYE SHEPU NA HIPS KUBWA ZAIDI....LAZIMA UDATE

Huwezi Kuamini Kama Huyu ni Mwanaume wa Shoka Kabisa na sio Shoga ila ana Hips Balaa , Tena hips ambazo Wanawake wengi huzitamani mpaka kwenda kuzitafuta kwa Operation na Kumeza madawa ya kichina...Anaitwa Micah ni Kijana Mwanamuziki wa mwenyeji wa Chicago ..  

Friday 16 January 2015

PANYA ROAD 119 WAACHIWA HURU KWA KUKOSEKANA KWA USHAHIDI WA KUTOSHA....

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu  Dar es Salaam limewaachia huru vijana 119 wanaodaiwa  kujihusisha na vitendo vya kihalifu  maarufu kama ‘panya road’  baada ya kukosekana kwa ushahidi wa kutosha.

POMBE SIO CHAI,MREMBO AUMBUKA

ALICHOKISEMA CHAMELEONE KUHUSU MUZIKI WA DIAMOND NA UHUSIANO WAKE NA ZARI

Ile couple inayozungumziwa na wengi East Africa, ya msanii Diamond Platnumz na Zarina Hassan aka Zari the Bosslady bado yako mengi, mitandaoni, kwenye vyombo vya habari kuhusu wao.

SITTI MTEMVU APOKELEWA KIFALME MKOANI MOROGORO

Mshiriki wa Shindano la Miss Tanzania mwaka 2014 Sitti Mtemvu.
Mrembo huyo ambaye hivi sasa anaongoza taasisi yake inayofahamika kama Sitti Tanzania 2015, alipofika mjini hapa, baadhi ya mashabiki wake walijipanga kutokea eneo la Nanenane na kuambatana naye hadi katika hospitali ya mkoa ambako alitoa msaada wa vyandarua katika wodi ya wazazi. 

Wednesday 14 January 2015

MBIO ZA URAIS,BODI YA WAKURUGENZI NHC VILISABABISHA PROF TIBAIJUKA AFUKUZWE KAZI,SAKATA LA ESCROW LATUMIKA KAMA KIVULI.

Ndugu zangu,wananchi wenzangu na watanzania wenzangu na wapenzi wa blogu hii,inafahamika kuwa aliyekuwa Waziri wa Kazi,Nyumba na Mandeleo ya Makazi Prof Tibaijuka alifukuzwa kazi  kutokana na ukosefu wa Maadili kama ambavyo Rais Jakaya Kikwete alivyodai,