Saturday 3 January 2015

TUNAOMBA RADHI

Kwa namna ya kipekee kabisa nianze kwa kuwatakia heri ya mwaka mpya wa 2015 watembeleaji wote wa Ze Uploading blog.
Tangu tarehe 30/12/2014 hatukuweza kurusha habari yoyote ile hadi hii leo,hii ilitokana na urekebishaji wa blog hii unaoendelea hadi sasa.
Nitumie fursa hii kuwaomba radhi watembeleaji wetu wote na nawaahidi hivi punde tu blog hii itaendelea kukuletea habari motomoto kutoka kila kona ya dunia...
Niwatakie mapumziko mema ya mwisho wa wiki..

Tuesday 30 December 2014

MABOSI LAKE OIL WAENDELEZA UNYANYASAJI,WAWAVUA NGUO WAFANYAKAZI WAO...





                                   




Mfanyakazi wa kampuni ya mafuta ya Lake Oil, Deocres Deus Ruta (32) anayedai kunyanyanswa na mabosi zake.

Baadhi ya vigogo wa kampuni ya mafuta ya Lake Oil wanadaiwa kumvua nguo mfanyakazi wao Deocres Deus Ruta (32) (pichani)ambaye ni dereva wao pia vijana wawili ambao siyo wafanyakazi wa kampuni hiyo.

MVUA ILIYONYESHA DAR SIKU YA JANA,YAUA WAWILI


 MVUA
 iliyonyesha jijini Dar es Salaam jana, imeleta balaa baada ya kuua watu wawili, katika maeneo tofauti ya jiji, likiwemo tukio la mtoto wa miaka minane kufa baada ya kuzidiwa na maji yaliyoingia ndani ya nyumba aliyokuwa amelala. 

HATARI:MGOMBEA URAIS ATABIRIWA KIFO


Maalim Hassan Hussein, ambaye ni mtoto wa aliyekuwa mtabiri maarufu nchini, marehemu Sheikh Yahya Hussein, ametabiri mambo 18 yatakayotokea mwakani, likiwamo la kufariki ghafla kwa kiongozi mmoja mzee ambaye yumo kwenye mbio za urais mwakani.

HUYU NDIYE MWANAMKE MWEUSI TAJIRI ZAIDI DUNIANI...AMPIKU OPRAH


 Bilionea wa Nigeria, Folorunsho Alakija amempiku Oprah Winfrey kama mwanamke mweusi tajiri zaidi duniani kwa kuwa na utajiri wa dola bilioni 7.3 kwa mujibu wa orodha iliyotolewa na jarida la Ventures Africa.   

Monday 29 December 2014

MC ZIPOMPA ATAPELIWA NA STARA THOMAS,AAHIDI KUMVURUGA VURUGA...

Glads Chiduo ‘MC Zipompa’. 
MSHEREHESHAJI maarufu Bongo, Glads Chiduo ‘MC Zipompa’ ameibuka na kusema kwamba endapo staa wa muziki wa Kizazi Kipya, Stara Thomas hatamlipa fedha zake, atamvuruga kwani amemvumilia vya kutosha na ameenda kinyume na makubaliano yao.  

100% ROSE MUHANDO ASUMBULIWA NA PEPO CHAFU LA UTAPELI...SAFARI HII AMTAPELI MDAU WAKE WA KARIBU SANA...


                             

Nyota wa muziki wa injili nchini, Rose Athuman Muhando.

LILE jinamizi la kupokea fedha kwa ajili ya kushiriki tamasha la kuimba nyimbo za Injili kisha kutotokea siku ya tukio linazidi kumwandama nyota wa muziki huo nchini, Rose Athuman Muhando, safari hii akidaiwa kumliza tena mtu, Ijumaa Wikienda lina kesi hiyo mkononi. 

HII NI DHARAU: RAIS OBAMA AFANANISHWA NA TUMBILI...

Korea kaskazini imeilaumu Marekani kutokana na mataizo ya mtandao ambayo yameikumba siku chache zilizopita.

SIRI SIRINI,KUMBE DIAMOND HANA UWEZO WA KUMPA MWANAMKE UJAUZITO...MTAALAM WA TIBA YA UZAZI AFUNGUKA..



BAADA ya kudaiwa na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuwa alichoropoa mimba zake mbili, mtangazaji wa Radio E-FM, Penniel Mungilwa ‘Penny’ ameibuka na kujibu mapigo kwamba mwanamuziki huyo hana uwezo wa kumpa mwanamke mimba.

TIBAIJUKA ADAI SAKATA LA ESCROW LISHAZIKWA,KUGOMBEA TENA UBUNGE MWAKANI...


Siku chache  baada ya Rais Kikwete kumfuta kazi  Tibaijuka kama waziri wa ardhi,nyumba na makazi ,mbunge huyo amewaambia wapiga kura wake kwamba hawakumchagua kama waziri bali kama mwakilishi wao.

Sunday 28 December 2014

NDEGE YA AIRASIA YAPOTEA ANGANI IKIWA NA WATU ZAIDI YA 160


                         
(CNN) -- AirAsia Flight 8501 has lost contact with traffic control in Jakarta, Indonesia, the airline's crisis center said Sunday.
"We have no further information. A crisis center has been set up. We are seeking more information to provide," the center said.
====== 

DIAMOND NA ZARI WAHAMIA BURUNDI....






ALIYEKUWA KATIBU MKUU WA YANGA ATAFUTWA NA POLISI KWA TUHUMA ZA UBADHILIFU


    
JESHI la Polisi jijini Dar es Salaam limekuwa likiendelea kumsaka aliyekuwa Katibu Mkuu wa Yanga, Beno Njovu.
Habari za kipolisi kutoka ndani ya Jeshi hilo zimeeleza kwamba juhudi za kumtia nguvuni Njovu anayetuhumiwa na ubadhilifu zimekuwa zikiendelea kwa juhudi kubwa.  

DUDE: MASTAA WENGI NCHINI WANAAMBUKIZANA NGOMA BILA WOGA

 
Mwigizaji na muongozaji wa Filamu za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameibuka na kusema kuwa kuelekea mwisho wa mwaka mastaa wengi wana ngoma na mbaya zaidi wanaambukizana wao kwa wao. 

WASTARA KUMTAMBULISHA MPENZI WAKE MPYA SIKU SI NYINGI...


                             
Mwigizaji  wa filamu Wastara Juma, ametamka hadharani kuwa hana uhusiano wa kimapenzi na msanii yeyote ndani ya Kundi la Bongo Movie.

HOUSEBOY ALIYE LAWITI MTOTO WA MIAKA 6 AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA


Mfanyakazi wa nyumbani, Hatibu Adamu (20) amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mtoto wa kike wa miaka sita.