Thursday 20 November 2014

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2015: DOKII ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA UBUNGE....


‘Nagombea Ubunge katika jimbo la Kilosa, naomba tu Neema ya Mungu iniongoze kwa sababu kila kitu huwa nafanya na kusikiliza nini Mungu anaongea na mimi, nia yangu ni kugombea Kilosa sababu ndio nimetokea huko japo mimi ni mtu wa Kigoma Mmanyema lakini nimekulia kule Kilosa Kimamba Morogoro‘ – Dokii
‘Mimi ni msanii pekee naweza kusema ndio nimetumika sana kwenye jamii kuliko wasanii wote, kwenye kuelimisha jamii najitolea hata kipindi kile cha madereva wa bodaboda mpaka wakanipa Ubalozi nilikua nakaa natetea haki zao, na pia nataka kuonyesha kwamba Wanawake tunaweza hapana kujiweka nyuma‘ kamalizia Dokii

No comments: