Thursday 27 November 2014

MTATIRO: NCHI IMEOZA HADI ALTARENI

                              Askofu Kilaini

HII NI KAULI ALIYOITOA JULIUS MTATIRO BAADA YA VIONGOZI WA DINI KUWA KWENYE LIST YA WALIOPATA MGAWO WA MABILIONI YA ESCROW
Tunapokuwa na nchi iliyooza, viongozi wa dini wako mstari wa mbele kuchukua milungula na hela za rushwa zilizojaa damu na mateso ya kodi za wananchi.Ni aibu mno, sielewi hawa maaskofu wangu wanasimama kwenye altare kufanya nini...ni kufuru na aibu kwa mimi Mkatoliki na wakatoliki wote duniani.
Wakati Bunge linafukuza wezi, ni muhimu na Kanisa Katoliki lifukuze hawa maaskofu walafi na kuwapeleka mahakamani. Kisha kanisa lijivue ushenzi huu, lirejeshe pesa hizi kwa niaba ya watumishi hawa walafi wa fedha na mafisadi.
Shame on you beloved bishops, my bishops... 
#BishopMethodius #Kilaini & #BishopEusebius #Nzingilwa. 
#IPTL & #ESCROW #BringBackOurMoney.

No comments: