Thursday 27 November 2014

RICK ROSS APATA DEMU MPYAAAAAAAA BONGE LA TAJIRI....



Rick Ross The Boss ambaye aliwahi kuja Tanzania kwenye Fiesta, juzi kati alifanya party ya kusherehekea album yake mpya ya Hood Billionaire huko Atlanta Georgia Marekani.
Unaambiwa kwenye party hiyo Rozay alikua bega kwa bega na mrembo Ming Lee ambaye anatajwa kuwa milionea kutokana na biashara ya nywele na kampuni yake ambayo inahusisha pia nguo na Salon.
Baada ya kuonekana pamoja zimeanza kusambaa fununu kwamba Rozay ndio kajiegesha hapo kwa sasa.


No comments: