Thursday 27 November 2014

BAADA YA KIM KARDASHIAN SASA NI ZAMU YA WIZ KHALIFA KAJIFOTOA MTUPUUUUUUU AKIWA BAFUNI


Ikiwa zimepita siku kadhaa tangu Supastaa Kim Kadarshian kukaa kwenye vichwa vya habari vya mitandao mbalimbali kutokana na picha zake zikimuonyesha akiwa tupu kuzagaa kwenye mitandao, staa mwingine tena huenda akaingia kwenye list ya #BreaktheInternet.
Kwenye ukurasa wa Rapa Wiz Khalifa ameweka picha inayomwonyesha akijimwagia maji kichwani huku akiwa mtupu ndani ya bafu.
Bado haijafahamika kama amefanya hivyo kama njia ya kuyatangaza maji hayo au ana maana ipi.

No comments: