Friday 19 December 2014

PICHA,KUTOKA CHUMBANI MPAKA UKUMBINI ‘ALLWHITE CIROCPARTY’ ILIYOFANYIKA KAMPALA UGANDA....




 Pati ya Zari ‘AllWhite CirocParty’ iliyofanyika usiku wa kuamkia Decemba 19 mjini Kampala imeisha saa 11 alfajiri, Kwa mjibu Wa wahusika wa club @guvnoruganda wanasema ukumbi wao haujawahi kujaza watu kama ilivyokuwa kwenye party hii, licha ya watu kujaa ndani bado palikuwa na watu walioshindwa kuingia na kubaki nje . 


Zifuatazo ni picha zilizopigwa kuanzia chumbani,Diamond na Zari walipokuwa wakijiandaa hadi ukumbini party hiyo ilipofanyika....
     













No comments: