Friday 23 January 2015

AGNESS MASOGANGE AMSHUKURU BELLE 9


Finally video queen maarafu wa Tanzania Agness masogange amefunguka kuwa bila ya belle 9 leo asingekuwepo hapo, coz huko alipo southafrica fursa nyingi zimeshaanza kufunguka na kuanza kutumiwa message nyingi huku wasanii wengi
wakitaka kufanya nae kazi na kuwasaidia wasanii hao kuwataftia ma model wengine, itakumbukwa nyimbo ya masogange ni nyimbo ambayo iliimbwa na belle 9 na kumfanya mwanadada huyo ajulikane all over the east africa na baadhi za nchi za africa..

No comments: