Monday 19 January 2015

MWIZI WA AKAUNTI ZA AY NA FID Q HUYU HAPA,NI MTOTO WA MBUNGE...

                                             
Ahmed Mundhiri, kumbe ni mtoto wa Mbunge wa zamani wa Mchinga Mh. Mdhihiri Mdhihiri amekamatwa jana kwa kuiba account za watu mbali mbali kwenye mitandao wakiwemo Fid Q na AY kama anavyoonekana aliponaswa jana live!!

No comments: