Sunday 21 December 2014

BAADA YA MTOTO WA RAIS OBAMA KUBEBA MIMBA,MAMA YAKE ASEMA MIMBA ZA MAPEMA NI KAWAIDA KWENYE FAMILIA YAO.....



 
Baada ya habari hii kusambazwa na kujadiliwa sana mitandaoni na kwenye vyombo mbalimbali vya habari..Mke wa Rais Obama,Michelle Obama alipokuwa kwenye mahojiano na kituo kimoja cha habari amefunguka bila kusita kuhusiana na ujauzito wa mwanae Malia Obama...Kufunguka huko kuliacha mshangao na wengine wakifurahia kile alichokiongea..Mama huyo bwana alitoa matamshi haya yafuatayo;
“Teen pregnancy is common in our family on her father’s side of course.My mother-in-law had Barack when she was 18, so I see where Malia gets it from. I’m just so excited to decorate the nursery. The White House hasn’t seen a baby since oh, 1884 or so.”
Alimaliza kwa kusema hivyo .....

No comments: