Monday 1 December 2014

MTUHUMIWA AJISAIDIA HAJA KUBWA KIZIMBANI AKISOMEWA SHITAKA LAKE JIJINI DAR...

POLISI NA MACHINGA KIMENUKA UPYAAAAAA JIJINI DAR ES SALAAM


MASHABIKI LIVERPOOL WAPINGA KUPANDA BEI ZA TIKETI


   

MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI ASISITIZA FEDHA ZA ESCROW SI ZA SERIKALI


Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema ameomba uamuzi wa wabunge utakaotolewa usiathiri kesi zilizopo mahakamani kuhusiana na mgogoro wa IPTL/ Escrow.
   

RAIS KIKWETE KUWASHUGHULIKIA WATUHUMIWA SAKATA LA ESCROW


BUNGE limeazimia kuwajibishwa kwa mawaziri Profesa Sospeter Muhongo, Profesa Anna Tibaijuka, Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji Frederick Werema, kutokana na sakata la uchotaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow, iliyokuwa Benki Kuu (BoT) kwa kutaka mamlaka ya uteuzi kutengua uteuzi wao.Mbali na hao, yumo Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi na Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco).