Tuesday 16 December 2014

DIAMOND AKANUSHA KUWANYANYASA WASANII WENZAKE HUKO MOMBASA

Nimesikitishwa Sana na habari zilizoandikwa na moja ya chombo cha habari, kuwa eti nliwanyanyasa wasanii wenzangu Nyota ndogo na Susumila, kwa kuwafukuza kwenye VIP lounge na sijui eti niliwazuia wasitumie maji ya chupa hivi inaingia akilini kweli hii!!!??  
 

Monday 15 December 2014

WEMA SEPETU ALICHUKIA NA KULITELEKEZA GARI ALILOZAWADIWA NA DIAMOND....



Ndinga aina ya Nissan Murano alilozawadiwa supastaa Wema Sepetu na aliyekuwa mchumba wake, Nasibu Abdul ‘Diamond'.

HII NDIO KAULI YA KWANZA YA HAPPINESS WATIMANYWA BAADA YA KUTOFANIKIWA KUTWAA TAJI LA MISS WORLD

Baada ya Miss South Africa anajulikana kwa jina la  Rolene Strauss ambaye ndie mshindi wa taji la  Miss World 2014, Aliyekuwa akiwakilisha Tanzania kwenye michuano hiyo kupitia mtandao ya kijamii wa Instagram amefunguka baada ya kushindwa kunyakua taji hilo na hichi ndicho alichokiandika

MATOKEO KAMILI MISS WORLD HAYA HAPA

Yafuatayo ni matokeo kamili ya miss World yakijumuisha ile TOP 25 pamoja na matokeo ya events challenges...
       GRAND MISS WORLD RESULTS

MISS TANZANIA AWA WA PILI ON MISS WORLD PEOPLE'S CHOICE AWARD



                               
 

Hakika lile zoezi la uhamasishaji wa kumpigia kura mrembo wa kutoka Tanzania Happiness Watimanywa limezaa matunda mara baada ya kumuwezesha mrembo huyo kushika nafasi ya pili katika kipengele hicho cha kupigiwa kura......

Licha ya kushika nafasi hiyo,muwakilishi wetu huyo hakuweza kupata nafasi ya kuingia kwenye kumi bora ya mashindano hayo makubwa ya urembo duniani kwani mshindi wa kwanza ndie hupata nafasi ya kuingia 10 bora ama 11 bora kama ilivyokuwa kwa mwaka huu ambapo miss Thailand alipata nafasi hiyo baada ya kuibuka namba moja kwenye kipengele cha Miss World People's Choice...
           

LICHA YA SKENDO ZAKE...HUU NDIO UTAJIRI WA ZARI THE BOSS LADY


Maneno ya zari akifunguka na kuwaelezea mashabiki wake jinsi ya utendaji kazi wake, wa nguvu na namna ulivyompa mafanikio, na hii ndio kauli ya zarithebosslady in other business news….

When you hustle hard daily, & stay focused on your vision motivation will never be an issue.

Check out my jewellery store at garden city shopping mall for wedding, engagement rings and all your other fashion jewellery…. 

Sunday 14 December 2014

HABARI KUTOKA MISS WORLD: KUMBE WATANZANIA TUKIAMUA TUNAWEZA MPAKA SASA WATIMANYWA YUKO NAFASI YA PILI


Watanzania wameamua kwamba tukiamua tunaweza, good news kutoka London Uingereza, ambako yanafanyika mashindano ya Miss World mwaka 2014.Happiness Watimanywa, mwakilishi wa Tanzania kwenye mashindano hayo ameshare na sisi taarifa nyingine nzuri kupitia ukurasa wake wa Instagram.Happiness kaandika hivi; “Hey guys. Siwezi amini kuwa tumefika namba 2. Tuongeze bidii maana nchi nyingine pia wako bize na kura. Lets do this Tanzania!!!! Naamini pamoja tutafika. #votevotevote #PigaKuraSasa#DownloadTheApp#HuuNiMwakaWetu“– @happinesswatimanywa

MSANII BONGO MUVI ATAKA KUJIUA KISA YANGA KUCHAPWA NA SIMBA.....

Baada ya Simba kumshushia kipigo kikali Yanga  cha mabao mawili kwa sifuri, nakuibuka mtani jembe. Muigizaji na shabiki mkubwa wa timu ya Yanga, Mchopanga  inasemekana alitaka kumeza madawa baada ya kuchapa kilaji.