Sunday 21 December 2014

PLUIJM AWAAHIDI WANA YANGA SOKA LA KUVUTIA NA LA KUSHAMBULIA

Kocha mpya wa Yanga Hans Pluijm leo amefanya mkutano wa kwanza na waandishi wa habari tangu apewe mikoba ya kuifundisha tena timu hiyo yenye maskani mitaa ya Kariakoo jijini Dar Es Salaam.  

HIZI NI SIFA ZA WANAUME WASIOJIAMINI...


       
Bila hata kwenda mbali angalia Hizi Statement kadhaa za Wanaume Wasiojiamini:

UTAFITI MZITO NA UCHAMBUZI WA STATUS ZA WHATSAPP HUU HAPA....

   
Habari za weekend wadau wangu....Najua wengi wenu mmejipumzisha na pia kuna  mnaoendelea na kupiga mishemishe...Mungu awabariki..
Leo katika pita pita zangu nikakutana na utafiti huu ambao naamini sio wa kisayansi lakini ni muhimu kukushirikisha....Utafiti huu unahusu Status mbalimbali zinazopatikana kwenye profiles mbalimbali kwenye mtandao wa WHATSAPP...Bila kupoteza muda naomba tuungane kuzifuatilia status hizo na uchambuzi wake yakinifu:

"I luv u dady, can't wait to 've ur f" (Unakuta ni uzushi tu, hakuna chochote, hajaolewa wala nini, kama sio ufuska ni nn?) 

AMTUPA MJUKUU WAKE DIRISHANI BASI LIKIWA KWENYE MWENDOKASI

Katika hali isiyo kuwa ya kawaida mama moja aliye kuwa akisafiri na  mtoto wake mmoja na wajukuu zake wawili, aliamua kumtupa mjukuu wake wa miaka sita dirishani huku basi likiwa katika mwendo kasi na kusababisha kifo chake baada ya kufikishwa katika hospitali ya mkoa wa Singida.

HATA UWE PEDESHEEE KIASI GANI,KAMA HAUKO TAYARI KWA "MAMBO FLANI" HUWEZI KULA MZIGO KWA SHILOLE (SHISHI BABY)

Mwigizaji na mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Zuwena Mohamed, maarufu kama shilole amedai kuwa anaweza kufanya ujinga wowote humu duniani lakini linapokuja suala la mapenzi hapo yupo makini sana na kamwe hawezi kufanya ujinga wa kujisahau au kukurupuka tu kwa kumuangalia MTU alivyo kwa uzuri au pesa zake... 

CR7 NOMA,AWEKA REKODI NYINGINE ULIMWENGU WA SOKA

Cristiano Ronaldo amekua mchezaji wa kwanza duniani kuzoa vikombe vyote kwa ngazi ya club vya ligi ya ndani ya nchi husika anayocheza akiwa na vilabu viwili tofauti akiwa na Man united Ronaldo alifanikwa kushinda mataji yafuatayo..   

BAADA YA MTOTO WA RAIS OBAMA KUBEBA MIMBA,MAMA YAKE ASEMA MIMBA ZA MAPEMA NI KAWAIDA KWENYE FAMILIA YAO.....



 
Baada ya habari hii kusambazwa na kujadiliwa sana mitandaoni na kwenye vyombo mbalimbali vya habari..Mke wa Rais Obama,Michelle Obama alipokuwa kwenye mahojiano na kituo kimoja cha habari amefunguka bila kusita kuhusiana na ujauzito wa mwanae Malia Obama...Kufunguka huko kuliacha mshangao na wengine wakifurahia kile alichokiongea..Mama huyo bwana alitoa matamshi haya yafuatayo;

BAADA YA KUINGIA MKATABA WA BILIONI 8.5 NA WACHINA,DIAMOND AMPA ONYO JOKATE KIDOTI...

Baada ya mwanadada Jokate kupitia kampuni yake ya KIDOTI kuingia mkataba mnono wa bidhaa zake na kampuni ya wachina, msanii Dimaond Platnumz amefunguka haya yafuatayo…