Wednesday 3 December 2014

VINARA MAUAJI YA WANAWAKE DAR,WAKAMATWA


Zaidi ya Wanawake 11 wameuawa Dar es Salaam katika kipindi cha miaka miwili na kutupwa barabarani au mitaroni huku miili yao ikiwa imefanyiwa vitendo vya unyama na udhalilishaji.

WABADILISHANA WAKE ZAO BAADA YA KUFUMANIANA

Wanaume wawili katika Halmashauri ya Busokelo Wilaya ya Rungwe wamefumaniana na kulazimika kubadilishana wake zao baada ya kufanya makubaliano ya maandishi  yaliyosimamiwa na Serikali ya Kijiji.

CHAMA CHA WALIMU TANZANIA CHATAKA MGAO PESA ZA ESCROW


RAPA AKKA KUTOKA SAUZI AMUONEA WIVU DIAMOND BAADA YA KUONA MAPOKEZI YAKE

MSAIDIZI WA RAIS NCHINI NIGERIA AWAFANYIA MAOMBI BOKO HARAB KUPITIA TWITTER

BAADA YA MVUA YA MAWE KUNYESHA JIJINI ARUSHA,VITUKO VIMEANZA KUIBUKA...

RONALDO IS A BEST PLAYER BUT MESSI HAS A MAGIC...(Ronaldinho)

HAPPY BIRTHDAY FAST JET......