Saturday 20 December 2014

ELTON JOHN KUOLEWA KESHO


      
Mwanamuziki nguli wa nchini Uingereza, Elton John anatarajia kuolewa katika ndoa ya jinsia moja na mpenzi wake wa siku nyingi aliyedumu naye kwa miaka 20, David Furnish.
       

CHRISTIAN BELLA AVUNJA MAZOEZI YA SIMBA SC

 

MECHI ZA LIGI KUU ENGLAND LEO NA KESHO HIZI HAPA


AMISI TAMBWE AMWAGA MACHOZI HADHARANI BAADA YA KUONA NYUMBA ANAYOISHI MBUYU TWITE...

SIKU chache baada ya aliyekuwa mshambuliaji wa Simba, Mrundi, Amissi Tambwe, ajiunge na Yanga, amejikuta akitokwa na machozi baada ya kutembelea nyumbani kwa beki wa timu hiyo ambaye ni raia wa Rwanda na mwenye asili ya DR Congo, Mbuyu Twite.
Tambwe alikumbwa na hali hiyo bila ya kutegemea kutokana na kujionea maisha mazuri ambayo anaishi beki huyo huku akiambiwa kuwa na wachezaji wengine wa timu hiyo nao wanaishi vizuri kama ‘professional’. 

PLUIJM ASAINI MWAKA MMOJA NA NUSU KUINOA YANGA


       Kocha Mholanzi wa Yanga, Hans van Der Pluijm.
WAKATI kocha Mholanzi wa Yanga, Hans van Der Pluijm akisaini mkataba wa mwaka mmoja na nusu kuinoa Yanga jana, Mbrazili aliyefungashiwa virago, Marcio Maximo juzi usiku alikabidhiwa kitita chake cha dola 12,000 (zaidi ya Sh milioni 20) na kumalizana kabisa na Yanga.
Pluijm aliyetua kuifundisha timu hiyo Jumatatu ya wiki iliyopita, amesaini mkataba huo baada ya Yanga kumalizana na Maximo ambaye wamempa mshahara wake wa mwezi mmoja kama walivyokubaliana kimkataba. 

BAADA YA DIAMOND KUDAI MIMBA ALIZOMPA PENNY ZILIHABIKA KIUTATA! ZILIPENDWA HUYO AFUNGUKA KIIVI!


    
 

FLORA MBASHA AWASILISHA MAHAKAMANI DAI LA TALAKA OMBI LA MGAO WA MALI NA MTOTO

Mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili nchini Tanzania,Flora Mbasha, amekwenda katika mahakama ya hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar-es-Salaam, akiomba kuvunjwa kwa ndoa yake na mumewe Emanuel Mbasha.
Flora amefungua kesi ya madai namba 64 ya mwaka huu kesi ambayo inasikilizwa na hakimu Maxi, Devota Kisoka. 

WOLPER NA KING MAJUTO NDANI YA BONGE MOJA LA MOVIE


      
Tukiwa unaelekea ukingoni mwa mwaka 2014 , Waigizaji Jackline Masawe “Wolper”na King Majuto wameonekana wakiwa mzigoni kutengeneza kitu kipya. Mwanadada Wolper aliidondosha picha hii na kuandika “New Movie with majuto dady”