Friday 19 December 2014

PICHA,KUTOKA CHUMBANI MPAKA UKUMBINI ‘ALLWHITE CIROCPARTY’ ILIYOFANYIKA KAMPALA UGANDA....




 Pati ya Zari ‘AllWhite CirocParty’ iliyofanyika usiku wa kuamkia Decemba 19 mjini Kampala imeisha saa 11 alfajiri, Kwa mjibu Wa wahusika wa club @guvnoruganda wanasema ukumbi wao haujawahi kujaza watu kama ilivyokuwa kwenye party hii, licha ya watu kujaa ndani bado palikuwa na watu walioshindwa kuingia na kubaki nje . 


Zifuatazo ni picha zilizopigwa kuanzia chumbani,Diamond na Zari walipokuwa wakijiandaa hadi ukumbini party hiyo ilipofanyika....
     

JA RULE KURUDI KWENYE GAME MWAKANI

 
Rapper Ja Rule ambaye amekuwa kimya kwenye muziki baada ya kutoka jela amezungumzia uwepo wa album mpya mwaka 2015. Kwenye interview aliyofanyiwa hivi karibuni Ja Rule amesema “ Nina album kama tatu ambazo ziko tayari na nitaanza kutoa single 2015, sitatoa album nzima mapema “ 

Hivi karibuni Ja Rule aliimbwa kwenye wimbo wa Asap Ferg aliofanya na Big Sean uliopewa jina “Ja Rule ” , alipoulizwa kuhusu single hii alisema ” Ni mapenzi ya ukweli huyu jamaa kaonyesha, nilifurahishwa sana na kazi yao wote wawili “


DIAMOND APEWA ULINZI KUTOKA JESHI LA UGANDA- UPDF



 Mlinzi kutoka jeshi la Uganda 

        

VIDEO YA MWANA KUTOKA LEO KUONEKANA KWENYE VITUO VIFUATAVYO

Video iliyosubiriwa kwa muda mrefu na mashabiki wa Ali Kiba ‘Mwana’itaanza kuonyeshwa ijumaa ya 19 Decemba 2014. Ali Kiba amethibitisha kuwa video imekamilika kwa kutoa kionjo cha video hio na kusema ‘Videoimetayarishwa na muongozaji kutoka Afrika Kusini na imefanyika maeneo ya mjii wa Cape Town” .  

UTATA KIFO CHA AISHA MADINDA HUU HAPA


MENGINE yameibuka! Kifo cha aliyekuwa mnenguaji wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Mwanaisha Mohamed Mbegu ‘Aisha Madinda’ kimeibua mengine ambapo baadhi ya watu wa karibu wanaamini kimetokana na kudungwa sindano tano za majimaji yenye madawa ya kulevya, ‘unga’ na rafiki yake, Ijumaa ‘Kubwa’ linakupa zaidi.
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, Aisha alidungwa kwa makusudi sindano hizo na rafiki yake mmoja ambaye polisi bado wanamtafuta, ikidaiwa lengo lilikuwa kummaliza.

MJUE AISHA MADINDA KUANZIA KIGOMA,UHOLANZI,DUBAI,DAR HADI UMAUTI....

 
Aisha Madinda Enziza uhai wake.

Amekwenda mapema mno! Siku ya Desemba 17, mwaka huu haikuwa poa hata kidogo kwenye tasnia ya muziki wa dansi Bongo katika kipengele cha unenguaji.Chumba chetu cha habari  kinachofanya kazi kwa karibu na mastaa Bongo kilipata mshtuko wa aina yake.
Zilikuwa ni habari mbaya za kifo cha aliyekuwa mnenguaji bei mbaya wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’ inayosimamiwa na Kampuni ya ASET chini ya mkurugenzi wake, Asha Baraka, Mwanaisha Mohamed Mbegu. Wengi tulimzoea kwa jina la stejini la Aisha Madinda. 

NDOA NDOANO: MCHEKI MAIMARTHA ALIVYOZEEKA


Mtangazaji Maimartha Jesse ‘Mai’.
Mtangazaji Maimartha Jesse ‘Mai’ ameibuka na kusema kuwa kitendo cha yeye kuingia kwenye maisha ya ndoa kimemsababisha sasa aonekane kama aliyezeeka kwani mambo mengi ya kisichana ameyaacha. 

THEY CHEAT AGAIN....DIAMOND ANYAKUA TUZO NYINGINE