Saturday 20 December 2014

WOLPER NA KING MAJUTO NDANI YA BONGE MOJA LA MOVIE


      
Tukiwa unaelekea ukingoni mwa mwaka 2014 , Waigizaji Jackline Masawe “Wolper”na King Majuto wameonekana wakiwa mzigoni kutengeneza kitu kipya. Mwanadada Wolper aliidondosha picha hii na kuandika “New Movie with majuto dady”

MPAMBE WA MGOMBEA URAIS 2015 AFUMANIWA AVISHWA SHANGA...


        
JAMAA anayedaiwa kwamba ni mpambe mkubwa wa mmoja wa wagombea urais mwakani ambaye ni fundi wa kufunga madishi, mkazi wa Magomeni-Makanya jijini Dar es Salaam, almaarufu Mgosingwa, amejikuta akivishwa shanga baada ya kunaswa na mke wa mtu chumbani kwake.
    

Friday 19 December 2014

MAXIMO OOOUUUUTTTT PRUIJM NA MKWASA WARUDI KUINOA YANGA..!!!....

Baada ya kuwepo kwa taarifa zisizothibitishwa rasmi za kufukuzwa kazi kwa kocha mkuu wa timu ya Dar es salaam young African Mbrazil Marcio Maximo, hatimae hii leo uongozi wa timu hiyo umemtangaza rasmi Mdachi Hans Van Der Pruijm kuwa kocha mkuu wa timu hiyo.

MOVIES ZA KIBONGO KUSHUKA BEI IFIKAPO MWAKANI



Baadhi ya waigizaji na wadau wanaofanya kazi na kampuni ya Steps Entertainment , leo asubuhi walitambulisha bei mpya na muonekano mpya wa DVD covers za filamu zao kwenye ukumbi wa habari maelelzo.

JOKATE NEXT LEVEL...ASAINI MKATABA WA BILIONI 8.5 NA KAMPUNI YA KICHINA KUMTENGENENZEA BIDHAA ZAKE ZA KIDOTI...


                                        

Mrembo Jokate Mwegelo amesaini makubaliano yenye thamani ya Sh8.5 billion na kampuni ya Kichina,  Rainbow Shell Craft Company Limited kwa ajili ya kuzalisha na kuuza bidhaa mbalimbali za lebo yake ya Kidoti.

PICHA,KUTOKA CHUMBANI MPAKA UKUMBINI ‘ALLWHITE CIROCPARTY’ ILIYOFANYIKA KAMPALA UGANDA....




 Pati ya Zari ‘AllWhite CirocParty’ iliyofanyika usiku wa kuamkia Decemba 19 mjini Kampala imeisha saa 11 alfajiri, Kwa mjibu Wa wahusika wa club @guvnoruganda wanasema ukumbi wao haujawahi kujaza watu kama ilivyokuwa kwenye party hii, licha ya watu kujaa ndani bado palikuwa na watu walioshindwa kuingia na kubaki nje . 


Zifuatazo ni picha zilizopigwa kuanzia chumbani,Diamond na Zari walipokuwa wakijiandaa hadi ukumbini party hiyo ilipofanyika....
     

JA RULE KURUDI KWENYE GAME MWAKANI

 
Rapper Ja Rule ambaye amekuwa kimya kwenye muziki baada ya kutoka jela amezungumzia uwepo wa album mpya mwaka 2015. Kwenye interview aliyofanyiwa hivi karibuni Ja Rule amesema “ Nina album kama tatu ambazo ziko tayari na nitaanza kutoa single 2015, sitatoa album nzima mapema “ 

Hivi karibuni Ja Rule aliimbwa kwenye wimbo wa Asap Ferg aliofanya na Big Sean uliopewa jina “Ja Rule ” , alipoulizwa kuhusu single hii alisema ” Ni mapenzi ya ukweli huyu jamaa kaonyesha, nilifurahishwa sana na kazi yao wote wawili “


DIAMOND APEWA ULINZI KUTOKA JESHI LA UGANDA- UPDF



 Mlinzi kutoka jeshi la Uganda