Friday 23 January 2015

MASOGANGE ATUHUMIWA KUTUMIA INSTAGRAM KUJIUZA HUKO SAUZI

     
MIEZI michache tangu ahamishie makazi yake nchini Afrika Kusini, modo aliyetikisa Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’ ametia aibu kutokana na kudaiwa ‘kujiuza’ kwa njia ya mtandao nchini humo. 

STATUS TATA ZA WOLPER ZAZUA GUMZO MITANDAONI


Mrembo na mwigizaji mwenye mvuto wa aina yake, Jackline Massawe “Wolper” toka jana amekuwa anaachia picha na jumbe mbalimbali mtandaoni zenye maneno mazito ambayo yamepelekea wengi kuhisi labda kuna kitu kimemkuta mwanadada huyu na sasa ameamua kupunguzia” stress” zake mtandaoni, huku wengine wakamini kuwa hizi ni jumbe za kawaida tu na hakuna kinachomsibu.

AGNESS MASOGANGE AMSHUKURU BELLE 9


Finally video queen maarafu wa Tanzania Agness masogange amefunguka kuwa bila ya belle 9 leo asingekuwepo hapo, coz huko alipo southafrica fursa nyingi zimeshaanza kufunguka na kuanza kutumiwa message nyingi huku wasanii wengi
wakitaka kufanya nae kazi na kuwasaidia wasanii hao kuwataftia ma model wengine, itakumbukwa nyimbo ya masogange ni nyimbo ambayo iliimbwa na belle 9 na kumfanya mwanadada huyo ajulikane all over the east africa na baadhi za nchi za africa..

KUTANA NA KIKONGWE WA MIAKA 90 ANAESOMA SHULE YA MSINGI


Akiwa na umri wa miaka 90 mwanamke wa Kenya ambaye anahudhuria masomo akiwa na wajukuu zake wapatao sita inaaminika ndiye mwanafunzi mzee zaidi anayesoma shule ya msingi duniani.
Akiwa ameketi dawati la mbele kabisa darasani ,yuko darasa la tano na amevalia nguo za shule , Priscilla Gogo Sitienei anamsikiliza mwalimu anayefundisha kwa makini hukua akiandika majina ya wanyama kwa kiingereza kwenye daftari lake. 

UTAFITI: MWANAMKE KUWA JUU YA MWANAUME WAKATI WA KUJAMIIANA NI HATARI KWA MWANAUME

Wanasayansi nchini Brazil wamefanya utafiti ili kubaini ni mtindo upi katika ufanyaji tendo la ndoa ulio hatari zaidi kwa mwanaume.
Kwa mujibu wa utafiti huo, mtindo ambao mwanamke anakuwa juu ya mwanaume ndio hatari zaidi na huwa na risk kubwa zaidi ya kusababisha hata kuvunjika kwa uume.

DIAMOND ATINGA KWENYE TOP TEN ZA TRACE TV YA UFARANSA


Post  hii  ni  maalumu  kwajili  yako  mpendwa  msomaji kama ulikuwa na hamu ya kufahamu video za Afrika zinazofanya vizuri duniani na iliyofanikiwa kuchukua nafasi kwenye countdown za nchi kubwa.

WAGOMBEA UDIWANI KUPIMA VIRUSI VYA UKIMWI KABLA YA KUCHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA NAFASI HIYO


MADIWANI wa Halmashauri ya Nsimbo wilayani Mlele katika mkoa wa Katavi wameshauriwa kupima afya zao ili kubaini kama wana maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) kabla ya kuchukua fomu za kugombea nafasi ya udiwani katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika mwaka huu.

JULIANA KANYOMOZI ATOA YA MOYONI KUVUJA PICHA ZA UCHI MITANDAONI...

 Muimbaji wa Uganda, Juliana Kanyomozi amefunguka kwa urefu kuhusiana na masuala mbalimbali kwenye mahojiano aliyofanyiwa na mtandao wa SatisfashionUG.