Friday 23 January 2015

DIAMOND ATINGA KWENYE TOP TEN ZA TRACE TV YA UFARANSA


Post  hii  ni  maalumu  kwajili  yako  mpendwa  msomaji kama ulikuwa na hamu ya kufahamu video za Afrika zinazofanya vizuri duniani na iliyofanikiwa kuchukua nafasi kwenye countdown za nchi kubwa.

WAGOMBEA UDIWANI KUPIMA VIRUSI VYA UKIMWI KABLA YA KUCHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA NAFASI HIYO


MADIWANI wa Halmashauri ya Nsimbo wilayani Mlele katika mkoa wa Katavi wameshauriwa kupima afya zao ili kubaini kama wana maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) kabla ya kuchukua fomu za kugombea nafasi ya udiwani katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika mwaka huu.

JULIANA KANYOMOZI ATOA YA MOYONI KUVUJA PICHA ZA UCHI MITANDAONI...

 Muimbaji wa Uganda, Juliana Kanyomozi amefunguka kwa urefu kuhusiana na masuala mbalimbali kwenye mahojiano aliyofanyiwa na mtandao wa SatisfashionUG.

ZARI KUWA NA MIMBA,INA MAANA DIAMOND ALIFANYA MAPENZI BILA YA KINGA,JE WALIPIMA LINI NA WAMEJUANA KWA MUDA GANI?????


Takribani wiki nzima sasa mitandaoni kumejaa hii habari ya kuwa shemeji na wifi yetu Zari the boss lady yu mjamzito,ambapo muhusika wa ujauzito huo ni Diamond...Nimekuwa nikijiuliza mwenzenu,Ili mtu aweze pata ujauzito kwa njia ya kujamiiana basi ni lazima afanye mapenzi bila kutumia kinga ya aina yoyote ile hususani Condom.. 
Hivyo kama kweli Zari ana mimba hii ina maanisha walifanya mapenzi kavu kavu na hapa ndipo ninapojiuliza mimi mwenzenu ZARI NA DIAMOND WALISHAPIMA AFYA ZAO??? WAMEJUANA KWA MUDA GANI MPAKA WAFIKIE UAMUZI HUO WAKUTEMBEA PEKU PEKU????  

Thursday 22 January 2015

ZIFAHAMU CLUB KUMI TAJIRI BARANI ULAYA,REAL MADRID YAFUNIKA


Real Madrid imeibuka kama klabu tajiri zaidi ulaya kulingana na orodha iliyotolewa na Deloitte Football Rich kwa miaka kumi mfululizo.
Manchester United imetoka nafasi ya nne hadi ya pili katika orodha hio, kulingana na mapato ya msimu wa 2013 -2014
Bayern Munich, Barcelona na Paris St -Germain walifuatana kwa orodha hiyo kutoka nambari tatu.
Klabu za Uingereza, Machester City, Chelsea, Arsenal na Liverpool wanafuatana kutoka nambari sita hadi tisa, wote wakionyesha dalili nzuri za kuongeza mapato .

MASKINI RACHEL,AFUATA NYAYO ZA RAY C NAE SASA ALISHWA UNGWA NA KUVUTISHWA BANGI


Kama ilivyotokea kwa msanii nyota wa kike wa bongo fleva, Rehema Chalamira 'Ray C' kuingizwa katika matumizi ya dawa ya kulevya na mtu ambaye alitokea kumwamini sana, ndivyo ilivyotokea sasa kwa msanii anayefuata nyendo zake, Winfrida Josephat 'Rachel' ambapo anadaiwa kuvutishwa unga bila kujua.... 

CSKA MOSCOW YAMUONGEZEA MUDA MBWANA SAMATTA,LIST YA TIMU ZINAZOMTAKA HII HAPA...

 Hatimaye nyota ya mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe Mbwana Samatta imeanza kung’ara katika anga ya kimataifa ya soka.Taarifa zilizothibitishwa ni kwamba mshambuliaji huyo yupo kwenye majaribio katika klabu ya CSKA Moscow – moja ya klabu kubwa kabisa nchini Urusi ambayo kwa miaka kadhaa imekuwa ikitawala soka la nchi hiyo na kucheza katika michuano ya mabingwa wa ulaya. 

JOKATE AMFUNIKA LULU,MWENYEWE AFURAHIA

 Mwanamitindo na dairekta wa lebo ya Kidoti, Jokate Mwegelo 

MWANAMITINDO na dairekta wa lebo ya Kidoti, Jokate Mwegelo amekuwa tishio kwa msanii wa filamu za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwa urembo na muonekano katika picha zinazoonekana mitandaoni nchini.