Tuesday 30 December 2014

MABOSI LAKE OIL WAENDELEZA UNYANYASAJI,WAWAVUA NGUO WAFANYAKAZI WAO...





                                   




Mfanyakazi wa kampuni ya mafuta ya Lake Oil, Deocres Deus Ruta (32) anayedai kunyanyanswa na mabosi zake.

Baadhi ya vigogo wa kampuni ya mafuta ya Lake Oil wanadaiwa kumvua nguo mfanyakazi wao Deocres Deus Ruta (32) (pichani)ambaye ni dereva wao pia vijana wawili ambao siyo wafanyakazi wa kampuni hiyo.

MVUA ILIYONYESHA DAR SIKU YA JANA,YAUA WAWILI


 MVUA
 iliyonyesha jijini Dar es Salaam jana, imeleta balaa baada ya kuua watu wawili, katika maeneo tofauti ya jiji, likiwemo tukio la mtoto wa miaka minane kufa baada ya kuzidiwa na maji yaliyoingia ndani ya nyumba aliyokuwa amelala. 

HATARI:MGOMBEA URAIS ATABIRIWA KIFO


Maalim Hassan Hussein, ambaye ni mtoto wa aliyekuwa mtabiri maarufu nchini, marehemu Sheikh Yahya Hussein, ametabiri mambo 18 yatakayotokea mwakani, likiwamo la kufariki ghafla kwa kiongozi mmoja mzee ambaye yumo kwenye mbio za urais mwakani.

HUYU NDIYE MWANAMKE MWEUSI TAJIRI ZAIDI DUNIANI...AMPIKU OPRAH


 Bilionea wa Nigeria, Folorunsho Alakija amempiku Oprah Winfrey kama mwanamke mweusi tajiri zaidi duniani kwa kuwa na utajiri wa dola bilioni 7.3 kwa mujibu wa orodha iliyotolewa na jarida la Ventures Africa.   

Monday 29 December 2014

MC ZIPOMPA ATAPELIWA NA STARA THOMAS,AAHIDI KUMVURUGA VURUGA...

Glads Chiduo ‘MC Zipompa’. 
MSHEREHESHAJI maarufu Bongo, Glads Chiduo ‘MC Zipompa’ ameibuka na kusema kwamba endapo staa wa muziki wa Kizazi Kipya, Stara Thomas hatamlipa fedha zake, atamvuruga kwani amemvumilia vya kutosha na ameenda kinyume na makubaliano yao.  

100% ROSE MUHANDO ASUMBULIWA NA PEPO CHAFU LA UTAPELI...SAFARI HII AMTAPELI MDAU WAKE WA KARIBU SANA...


                             

Nyota wa muziki wa injili nchini, Rose Athuman Muhando.

LILE jinamizi la kupokea fedha kwa ajili ya kushiriki tamasha la kuimba nyimbo za Injili kisha kutotokea siku ya tukio linazidi kumwandama nyota wa muziki huo nchini, Rose Athuman Muhando, safari hii akidaiwa kumliza tena mtu, Ijumaa Wikienda lina kesi hiyo mkononi. 

HII NI DHARAU: RAIS OBAMA AFANANISHWA NA TUMBILI...

Korea kaskazini imeilaumu Marekani kutokana na mataizo ya mtandao ambayo yameikumba siku chache zilizopita.

SIRI SIRINI,KUMBE DIAMOND HANA UWEZO WA KUMPA MWANAMKE UJAUZITO...MTAALAM WA TIBA YA UZAZI AFUNGUKA..



BAADA ya kudaiwa na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuwa alichoropoa mimba zake mbili, mtangazaji wa Radio E-FM, Penniel Mungilwa ‘Penny’ ameibuka na kujibu mapigo kwamba mwanamuziki huyo hana uwezo wa kumpa mwanamke mimba.