Tuesday 9 December 2014

MSIMAMO LIGI KUU ENGLAND HUU HAPA



KINGEREZA WITOOOO.....CHEKI BROKEN YA SHILOLE HUKO FACEBOOK


SOMA TANGAZO ALILOLIANDIKA MWENYEWE AKIMTAFUTA MSANII WA KUPERFORM KWENYE BIRTHDAY PARTY YAKE..

ALIYEZAMISHWA SULULU KICHWANI APONA KABISA.....


HAKUNA neno jingine la kutumia zaidi ya kusema; KWELI MUNGU MKUBWA! Ni miezi mitano sasa imekatika tangu kusambaa kwa picha mitandaoni zilizomwonesha mwanaume mmoja akiwa ameshindiliwa sululu kichwani hukukisa kikiwa hakijulikani. 

INASIKITISHA NA INAUMA SANA..BABA WA KAMBO AMNYONGA MTOTO KISA WIVU WA MAPENZI.......




Abdulrahman Hamis Clemensi enzi za uhai wake.JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro linamshikilia Zamili Shabani kwa madai ya kumnyonga hadi kumuua mtoto wake wa kambo, (mwaka mmoja na nusu) huku mauaji hayo yakihusishwa na wivu wa mapenzi.

HOUSEGIRL ANUSURIKA KIFO


Msaidizi wa kazi za ndani (hausigeli), Rehema Ally (17), mkazi wa Yombo, Machimbo Mwisho, Ilala jijini Dar, amechanwachanwa kwa wembe na kisu sehemu mbalimbali za mwili wake, hali iliyosababisha alazwe katika Hospitali ya Amana kwa matibabu.

MAUAJI YAENDELEA JIJINI MBEYA


MTU MMOJA MKAZI WA KIJIJI CHA NTOKELA WILAYANI RUNGWE ALIYETAMBULIKA KWA JINA LA CHESCO MAHENGE (41) ALIKUTWA AKIWA AMEUAWA KWA KUCHOMWA NA KITU CHENYE NCHA KALI KICHWANI NA WATU WASIOFAHAMIKA.MWILI WA MAREHEMU ULIKUTWA KANDO YA BARABARA KWENYE MASHAMBA YA CHAI MNAMO TAREHE 07.12.2014 MAJIRA YA SAA 08:00 ASUBUHI HUKO KATIKA KITONGOJI CHA MAPINDUZI, KIJIJI CHA NTOKELA, KATA YA ISONGOLE, TARAFA YA UKUKWE, WILAYA YA RUNGWE, MKOA WA MBEYA.

POLISI AMTETEA MTUHUMIWA MAHAKAMANI KISUTU


KESI ya kughushi inayomkabili mfanyabiashara, Hans Aingaya Macha imechukua sura mpya, baada ya askari Johanes Mgendi mwenye namba E 2982 kutoa ushahidi katika upande wa mtuhumiwa kwenye kesi hiyo.

SNURA ATUMIA SIMU KUTAPELI


MSANII wa filamu na muziki Bongo, Snura Mushi (pichani) amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kutumika kwa utapeli kupitia namba yake ya simu.