Wednesday 4 February 2015

KITUO KINGINE CHA POLISI CHAVAMIWA,SILAHA NA NYARAKA ZAIBWA..

   
 
 Kamanda Leonard Paulo. 

Wimbi la uvamizi na uporaji wa silaha kwenye vituo vya polisi limeendelea kushamiri safari hii likiamia mkoani Morogoro kwa kituo kidogo cha Polisi Mngeta, kilichopo Wilaya ya Kilombero, kuvamiwa na kuporwa bunduki moja aina ya SMG na magazine moja yenye risasi 30. 

IRENE UWOYA KUOLEWA NA JAGUAR HIVI KARIBUNI...

Irene Uwoya amesema ingawa Jaguar alishindwa kuja kuzungumza na wazazi wake kuhusu ndoa yao, bado wanawasiliana vizuri na kila kitu kipo sawa.  

Monday 2 February 2015

KIBIBI KIZEE ANAYESADIKIWA KUWA NI MCHAWI AANGUKA KUTOKA ANGANI,CHAWARUSHIA WANANCHI MAHELA...


KATIKA hali ya kushangaza, bibi kizee anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka (70), asiyejulikana jina wala makazi yake, ameanguka akiwa uchi wa mnyama nyumbani kwa Suzana Mwandu, mkazi wa Mtaa wa Mageuzi mkoani Shinyanga.
Tukio hilo lilitokea juzi ambapo bibi huyo baada ya kuanguka alianza kutembelea makalio bila kuzungumza chochote jambo ambalo limedaiwa ni ushirikina. 

HUYU NDIO MASOGANGE,HAPANA CHEZEA YEYE....

MTOTO KAJAZIA KWA MPANGILIO,SHINGO INAONEKANA IKO WAPI,KIFUANI HATARI TUPU,TUMBO LAJULIKANA LILIPO,KIUNO KKILEEEEE,VILIVYOBAKI CHINI YA KIUNO ANGALIA MWENYEWE NI HATAREEEEEEEEE....

WILFRED BONY AIPELEKA NUSU FAINALI IVORY COAST ALGERIA YAFA 3-1..


                          

Hatimaye Wilfried Bony ameondoa ukame wake wa magoli kwenye michuano ya kombe la mataifa ya Afrika (AFCON) baada ya kuifungia Ivory Coast mabao mawili katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Algeria. 

GARETH BALE AONJA MACHUNGU YA MASHABIKI WA REAL MADRID KWA TABIA YAKE YA UCHOYO WA PASI..

 
Gareth Bale amekutana tena na adha za mashabiki wa Real Madrid baada ya kuzomewa na wanazi hao kwa kumnyima pasi mchezaji mwenzake.
Hata hivyo Bale aliwajibu kishujaa kwa kutoa pande zuri kwa Karim Benzema lililozaa moja ya magoli katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Real Sociedad Jumamosi jioni.  

DIAMOND AMJIBU EX WA ZARI KWA VITENDO

Diamond akiwa kwenye baiskeli huku Zari akiwa kwenye BMW X6. 
Baadhi ya post za King Lawrence Instagram akimkejeli Diamond. 

Saturday 31 January 2015

ROBERT MUGABE ATEULIWA KUWA MWENYEKITIBWA UMOJA WA AFRIKA "AU"..

Rais mkongwe wa Zimbabwe Robert Mugabe, ameteuliwa kuwa mwenyekiti wa Muungano wa Afrika AU akichukua nafasi ya Mohamed Ould Abdel Aziz wa Mauritania.
  Mugabe mwenye umri wa miaka 90 ameteuliwa kwa kauli moja na Wajumbe katika mkutano wa AU unaoendelea kwa sasa mjini Addis Ababa-Ethiopia.