Saturday 24 January 2015

WEMA SEPETU AKANUSHA KUMDAI DIAMOND MILIONI 10...

 
Kumekuwa na stori kibao tangu Wema sepetu kuachana na Diamond platnumz,lakini kilicho make head lines zaidi ni hii ya Wema Sepetu kumfungulia Diamond mashtaka ya kumdai.
Kwenye interview aliyo ifanya baada ya kuzagaa kwa taarifa hizo za kufungua mashtaka kwaajili ya kumstaki mpenzi wake wa zamani,wema hapa anafunguka.... 

TAZAMA MCHUNGAJI AKIMFANYIA MAOMBI MWANAMAMA...NI HATARI...

Wanawake MUNGU awasaidie sana Mjue kujenga Mahusiano binafsi ya karibu na MUNGU mwenyewe kuliko kutegemea sana kuombewa hovyo hovyo,Kisa tu Umeambiwa na Rafiki yako kwamba yuko Apostle flani ana Upako sana. 

SAHAU KUHUSU MASOGANGE,KUTANA NA NKEM KUTOKA NIGERIA,NI BALAAA

BABA NA MAMA DIAMOND WAKO HOI KITANDANI,WAFICHWA WASIONEKANE

                                      
Wazazi wa nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Sanura Kasim na Abdul Juma wako hoi vitandani wakikabiliwa na maradhi mbalimbali...
TUANZE NA MAMA DIAMOND.. 
                           

Kwa mujibu wa chanzo chetu cha uhakika, mama Diamond hajiwezi kwa mwezi mmoja sasa akisumbuliwa na maradhi yenye kuashiria kupooza sehemu ya mwili na kushindwa kutembea. Anaugulia nyumbani kwake, Sinza ya Mori jijini Dar es Salaam.
YADAIWA KUWA SIRI
Habari zinadai kuwa, ugonjwa wa mama huyo umefanywa kuwa siri kwa watu wengine lakini bila kujulikana kisa cha usiri huo.

PENZI LA JACKLINE WOLPER NA NEY WA MITEGO,MAMBO HADHARANI,UKIBISHA UNA MATATIZO YAKO BINA

BAADA ya kudaiwa kuwa wapenzi na kisha habari hizo kufifia, hatimaye penzi la mwigizaji wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper na Mbongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, limeibuka upya ambapo safari hii Nay ameamua kufunguka hadharani..

WEMA SEPETU AATHIRIKA KWA KOPE BANDIKA,MWENYEWE AELEZA MAZITO

 
BEAUTIFUL Onyinye, Wema Sepetu ‘Madam’ amefunguka kuwa anajuta kutumia kope za bandia kwa muda mrefu kwani zimemua

MWANAMKE AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA YA SH BILIONI 2.5 NYUMBANI KWA MBUNGE

MWANAMKE mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Doreen John Mlemba, mwenyeji wa Same mkoani Kilimanjaro, mwishoni mwa mwaka uliopita alikamatwa kwa kuhusishwa na shehena ya madawa ya kulevya aina ya Heroin, yenye thamani ya shilingi bilioni 2.5.

SIRI YA WANAWAKE WENYE MWANYA,NDEVU NA KIDOTI CHEUSI YAJULIKANA...

                                                       
 Ushawahi kumuona mdada au mwanamke mwenye mwanya,ndevu au kialama cheusi maarufu kama kidoti???? 
Ka ma wewe ni kijana na bado hujaoa au unamchumba mwenye vitu hivyo vitatu,basi usimuache,kwanini Usimuache????