Monday 29 December 2014

SIRI SIRINI,KUMBE DIAMOND HANA UWEZO WA KUMPA MWANAMKE UJAUZITO...MTAALAM WA TIBA YA UZAZI AFUNGUKA..



BAADA ya kudaiwa na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuwa alichoropoa mimba zake mbili, mtangazaji wa Radio E-FM, Penniel Mungilwa ‘Penny’ ameibuka na kujibu mapigo kwamba mwanamuziki huyo hana uwezo wa kumpa mwanamke mimba.

TIBAIJUKA ADAI SAKATA LA ESCROW LISHAZIKWA,KUGOMBEA TENA UBUNGE MWAKANI...


Siku chache  baada ya Rais Kikwete kumfuta kazi  Tibaijuka kama waziri wa ardhi,nyumba na makazi ,mbunge huyo amewaambia wapiga kura wake kwamba hawakumchagua kama waziri bali kama mwakilishi wao.

Sunday 28 December 2014

NDEGE YA AIRASIA YAPOTEA ANGANI IKIWA NA WATU ZAIDI YA 160


                         
(CNN) -- AirAsia Flight 8501 has lost contact with traffic control in Jakarta, Indonesia, the airline's crisis center said Sunday.
"We have no further information. A crisis center has been set up. We are seeking more information to provide," the center said.
====== 

DIAMOND NA ZARI WAHAMIA BURUNDI....






ALIYEKUWA KATIBU MKUU WA YANGA ATAFUTWA NA POLISI KWA TUHUMA ZA UBADHILIFU


    
JESHI la Polisi jijini Dar es Salaam limekuwa likiendelea kumsaka aliyekuwa Katibu Mkuu wa Yanga, Beno Njovu.
Habari za kipolisi kutoka ndani ya Jeshi hilo zimeeleza kwamba juhudi za kumtia nguvuni Njovu anayetuhumiwa na ubadhilifu zimekuwa zikiendelea kwa juhudi kubwa.  

DUDE: MASTAA WENGI NCHINI WANAAMBUKIZANA NGOMA BILA WOGA

 
Mwigizaji na muongozaji wa Filamu za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameibuka na kusema kuwa kuelekea mwisho wa mwaka mastaa wengi wana ngoma na mbaya zaidi wanaambukizana wao kwa wao. 

WASTARA KUMTAMBULISHA MPENZI WAKE MPYA SIKU SI NYINGI...


                             
Mwigizaji  wa filamu Wastara Juma, ametamka hadharani kuwa hana uhusiano wa kimapenzi na msanii yeyote ndani ya Kundi la Bongo Movie.

HOUSEBOY ALIYE LAWITI MTOTO WA MIAKA 6 AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA


Mfanyakazi wa nyumbani, Hatibu Adamu (20) amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mtoto wa kike wa miaka sita.