Saturday 24 January 2015

MWANAMKE AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA YA SH BILIONI 2.5 NYUMBANI KWA MBUNGE

MWANAMKE mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Doreen John Mlemba, mwenyeji wa Same mkoani Kilimanjaro, mwishoni mwa mwaka uliopita alikamatwa kwa kuhusishwa na shehena ya madawa ya kulevya aina ya Heroin, yenye thamani ya shilingi bilioni 2.5.

SIRI YA WANAWAKE WENYE MWANYA,NDEVU NA KIDOTI CHEUSI YAJULIKANA...

                                                       
 Ushawahi kumuona mdada au mwanamke mwenye mwanya,ndevu au kialama cheusi maarufu kama kidoti???? 
Ka ma wewe ni kijana na bado hujaoa au unamchumba mwenye vitu hivyo vitatu,basi usimuache,kwanini Usimuache????  

BANZA STONE YU MAHUTUTI MJINI TUNDUMA,WASAMARIA WEMA KUJITOLEA KUMRUDISHA DAR

 
Walikwenda mkoani Mbeya na bendi yao Rungwe Music Band (zamani Wana Extra), bendi ikasambaratikia huko kila mtu akarejea Dar na hamsini zake, Banza akaamua kwenda Tunduma na huko ndiko balaa lilipomkumba.
Pengine bado uko kizani. Ni kwamba mwanamuziki nyota wa dansi Ramadhani Masanja “Banza Stone” yuko mahututi mjini Tunduma na hana huduma yoyote ya kimatibabu. 

Friday 23 January 2015

MASOGANGE ATUHUMIWA KUTUMIA INSTAGRAM KUJIUZA HUKO SAUZI

     
MIEZI michache tangu ahamishie makazi yake nchini Afrika Kusini, modo aliyetikisa Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’ ametia aibu kutokana na kudaiwa ‘kujiuza’ kwa njia ya mtandao nchini humo. 

STATUS TATA ZA WOLPER ZAZUA GUMZO MITANDAONI


Mrembo na mwigizaji mwenye mvuto wa aina yake, Jackline Massawe “Wolper” toka jana amekuwa anaachia picha na jumbe mbalimbali mtandaoni zenye maneno mazito ambayo yamepelekea wengi kuhisi labda kuna kitu kimemkuta mwanadada huyu na sasa ameamua kupunguzia” stress” zake mtandaoni, huku wengine wakamini kuwa hizi ni jumbe za kawaida tu na hakuna kinachomsibu.

AGNESS MASOGANGE AMSHUKURU BELLE 9


Finally video queen maarafu wa Tanzania Agness masogange amefunguka kuwa bila ya belle 9 leo asingekuwepo hapo, coz huko alipo southafrica fursa nyingi zimeshaanza kufunguka na kuanza kutumiwa message nyingi huku wasanii wengi
wakitaka kufanya nae kazi na kuwasaidia wasanii hao kuwataftia ma model wengine, itakumbukwa nyimbo ya masogange ni nyimbo ambayo iliimbwa na belle 9 na kumfanya mwanadada huyo ajulikane all over the east africa na baadhi za nchi za africa..

KUTANA NA KIKONGWE WA MIAKA 90 ANAESOMA SHULE YA MSINGI


Akiwa na umri wa miaka 90 mwanamke wa Kenya ambaye anahudhuria masomo akiwa na wajukuu zake wapatao sita inaaminika ndiye mwanafunzi mzee zaidi anayesoma shule ya msingi duniani.
Akiwa ameketi dawati la mbele kabisa darasani ,yuko darasa la tano na amevalia nguo za shule , Priscilla Gogo Sitienei anamsikiliza mwalimu anayefundisha kwa makini hukua akiandika majina ya wanyama kwa kiingereza kwenye daftari lake. 

UTAFITI: MWANAMKE KUWA JUU YA MWANAUME WAKATI WA KUJAMIIANA NI HATARI KWA MWANAUME

Wanasayansi nchini Brazil wamefanya utafiti ili kubaini ni mtindo upi katika ufanyaji tendo la ndoa ulio hatari zaidi kwa mwanaume.
Kwa mujibu wa utafiti huo, mtindo ambao mwanamke anakuwa juu ya mwanaume ndio hatari zaidi na huwa na risk kubwa zaidi ya kusababisha hata kuvunjika kwa uume.