Sunday 18 January 2015

LULU: SICHANGANYI MADAWA KAMA WENGINE,NITABAKI KUWA MUIGIZA


MTOTO mzuri Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema katika maisha yake ya sanaa hataweza kuchanganya madawa kufanya kazi nyingine mbali na kuigiza kama ambavyo wasanii wengine wanafanya. 

AMINI USIAMINI,MJI WA DUBAI UNAONGOZA KWA UAMINIFU SOMA TAARIFA HII...

Dubai imejinyakulia sifa ya kipekee katika kupima Imani za jamii kwa pochi iliyoangushwa mtaani,na mara ikarejeshwa kwa mhusika mara moja. 

Katika utafiti uliofanywa na mtengeneza Filamu mwenye asili ya Uingereza katika mitaa ya Dubai, alijaribu mara arobaini na tano kuidondosha kwa makusudi na katika kila tukio msamaria aliyeiokota aliirejesha pochi hiyo kwa mmiliki wake. 

SALUNI INAYOTOA HUDUMA YA NGONO YAGUNDULIKA KINONDONI,WADADA WA KISOMALI NDIO WAHUDUMU,BEI NI TSHS 60,000 KWA TENDO..

 
Wakati suala la ajira likiwa bado ni kitendawili kikubwa kwa serikali, Jiji la Dar hivi sasa linatisha, baada ya watu kubuni mtindo mpya wa kujipatia fedha kwa kujihusisha na biashara haramu ya ngono katika maeneo yanayotambulika kufanya shughuli nyingine halali.

Saturday 17 January 2015

WANAFUNZI 84 UDOM WAFIKISHWA MAHAKAMANI...


Wanafunzi 84 wa programu maalum ya stashahada ya ualimu katika Chuo Kikuu cha Dodoma(udom) waliofanya mgomo na kuandamana kushinikiza kulipwa madai yao, juzi wamepandishwa kizimbani kwa kosa la kukusanyika bila kibali maalum.

TANZANIA SIO NCHI MASKINI...VIGOGO BANDARINI WANALIPWA POSHO LAKI 5 KWA SIKU TANGU 2011

Wakati Msajili wa Hazina amebariki posho mpya za safari za ndani kwa wafanyakazi wa Mamlaka ya Bandari Nchini (TPA) kuwa Sh 500,000 kwa siku kuanzia Januari 2, mwaka huu, imebainika kuwa walishaanza kulipana hivyo tangu mwaka 2011.

WATUHUMIWA WENGINE 3 WA SAKATA LA ESCROW WAFIKISHWA MAHAKAMANI

Maafisa watatu mmoja wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Mamlaka ya Mapato (TRA) pamoja na wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) leo wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuhusiana na  kashfa ya akaunti ya Tegeta Escrow.

WANAOPENDA KUPIGA PICHA ZA SELFIE KUMBE WANA TABIA HII YA KIPEKEE....


Kuna utafiti uliofanywa na Ohio State University Marekani, unahusu masuala ya athari zinazoweza kusababishwa na watu kupendelea kupiga Selfie na kupost kwenye mitandao kama Istagram. 

CHEKI PICHA ZA WATOTO WANAOFANANA NA MASUPASTAA DUNIANI


 Kuna msemo usemao duniani wawili wawili, hivi uliwahi kuambiwa kuna mtu unafanana naye au kukutana na mtu ambaye anafanana au anafanana na mtu unayemjua?