Friday 16 January 2015

SITTI MTEMVU APOKELEWA KIFALME MKOANI MOROGORO

Mshiriki wa Shindano la Miss Tanzania mwaka 2014 Sitti Mtemvu.
Mrembo huyo ambaye hivi sasa anaongoza taasisi yake inayofahamika kama Sitti Tanzania 2015, alipofika mjini hapa, baadhi ya mashabiki wake walijipanga kutokea eneo la Nanenane na kuambatana naye hadi katika hospitali ya mkoa ambako alitoa msaada wa vyandarua katika wodi ya wazazi. 

Wednesday 14 January 2015

MBIO ZA URAIS,BODI YA WAKURUGENZI NHC VILISABABISHA PROF TIBAIJUKA AFUKUZWE KAZI,SAKATA LA ESCROW LATUMIKA KAMA KIVULI.

Ndugu zangu,wananchi wenzangu na watanzania wenzangu na wapenzi wa blogu hii,inafahamika kuwa aliyekuwa Waziri wa Kazi,Nyumba na Mandeleo ya Makazi Prof Tibaijuka alifukuzwa kazi  kutokana na ukosefu wa Maadili kama ambavyo Rais Jakaya Kikwete alivyodai, 

Saturday 3 January 2015

TUNAOMBA RADHI

Kwa namna ya kipekee kabisa nianze kwa kuwatakia heri ya mwaka mpya wa 2015 watembeleaji wote wa Ze Uploading blog.
Tangu tarehe 30/12/2014 hatukuweza kurusha habari yoyote ile hadi hii leo,hii ilitokana na urekebishaji wa blog hii unaoendelea hadi sasa.
Nitumie fursa hii kuwaomba radhi watembeleaji wetu wote na nawaahidi hivi punde tu blog hii itaendelea kukuletea habari motomoto kutoka kila kona ya dunia...
Niwatakie mapumziko mema ya mwisho wa wiki..

Tuesday 30 December 2014

MABOSI LAKE OIL WAENDELEZA UNYANYASAJI,WAWAVUA NGUO WAFANYAKAZI WAO...





                                   




Mfanyakazi wa kampuni ya mafuta ya Lake Oil, Deocres Deus Ruta (32) anayedai kunyanyanswa na mabosi zake.

Baadhi ya vigogo wa kampuni ya mafuta ya Lake Oil wanadaiwa kumvua nguo mfanyakazi wao Deocres Deus Ruta (32) (pichani)ambaye ni dereva wao pia vijana wawili ambao siyo wafanyakazi wa kampuni hiyo.

MVUA ILIYONYESHA DAR SIKU YA JANA,YAUA WAWILI


 MVUA
 iliyonyesha jijini Dar es Salaam jana, imeleta balaa baada ya kuua watu wawili, katika maeneo tofauti ya jiji, likiwemo tukio la mtoto wa miaka minane kufa baada ya kuzidiwa na maji yaliyoingia ndani ya nyumba aliyokuwa amelala. 

HATARI:MGOMBEA URAIS ATABIRIWA KIFO


Maalim Hassan Hussein, ambaye ni mtoto wa aliyekuwa mtabiri maarufu nchini, marehemu Sheikh Yahya Hussein, ametabiri mambo 18 yatakayotokea mwakani, likiwamo la kufariki ghafla kwa kiongozi mmoja mzee ambaye yumo kwenye mbio za urais mwakani.

HUYU NDIYE MWANAMKE MWEUSI TAJIRI ZAIDI DUNIANI...AMPIKU OPRAH


 Bilionea wa Nigeria, Folorunsho Alakija amempiku Oprah Winfrey kama mwanamke mweusi tajiri zaidi duniani kwa kuwa na utajiri wa dola bilioni 7.3 kwa mujibu wa orodha iliyotolewa na jarida la Ventures Africa.   

Monday 29 December 2014

MC ZIPOMPA ATAPELIWA NA STARA THOMAS,AAHIDI KUMVURUGA VURUGA...

Glads Chiduo ‘MC Zipompa’. 
MSHEREHESHAJI maarufu Bongo, Glads Chiduo ‘MC Zipompa’ ameibuka na kusema kwamba endapo staa wa muziki wa Kizazi Kipya, Stara Thomas hatamlipa fedha zake, atamvuruga kwani amemvumilia vya kutosha na ameenda kinyume na makubaliano yao.