Friday 12 December 2014

VX LACHOMWA MOTO NA WANANCHI BAADA YA KUGONGA NA KUUA MADEREVA 3 WA BODABODA


 Gari aina ya Toyota VX likiwaka moto baada ya kuchomwa na wananchi mchana leo Bunju B jijini Dar kwa kusababisha ajali na kuuwa madereva watatu wa bodaboda.  
   

IDRIS KUMTOSA DEMU WAKE WA MIAKA MINGI????????????

     

TABIA YA KUGOMBANIA MABWANA,DIDA AFUNGUKA ......



JOKATE NA MILLARD AYO NI WAPENZI???????????

   
Kutana na mwanadada ambaye anaendesha maisha yake kwa kazi mbalimbali zikiwemo uigizaji, muziki, uanamitindo, ujasiriamali na utangazaji.
   

YANGA YAMTEMA KHAMIS KIIZA


Taarifa kutoka chanzo cha kuaminika , klabu ya Yanga ipo mbioni kukatisha mkataba na mshambuliaji Hamis Kiiza raia wa Uganda,

WEMA ATISHIA KUMPA KICHAPO PENNY,KISA TABIA YA UMBEA.....

Ama kwa hakika ukistaajabu ya Musa basi jiandae kuyaona ya Firauni....na Wahenga walituasa ya kuwa siku zote...Wagombanao ndio wapatanao......