Wednesday 10 December 2014

MATOKEO UEFA HAYA HAPA....

Michuano ya ligi ya mabingwa barani ulaya imeendelea usiku wa jana ikiwa kwenye mzunguko wake wa mwisho wa hatua ya makundi . Katika michezo iliyopigwa jana timu ya Arsenal toka England ilifanikiwa kushinda kwenye mchezo wake dhidi ya Galatasaray ya Uturuki kwa matokeo ya 2-4 katika mchezo uliopigwa huko Istanbul. 

Tuesday 9 December 2014

WALE MAPACHA WALIOUNGANA HUKO INDIA WAPATA MPENZI..


Mapacha ambao wameungana huko Bengal Magharibi Ganga na Jamuna Mondal 45, wamesema hawajawahi kuwa na mpenzi katika maisha yao kwa sababu ya kukataliwa kutokana na mwonekano wao.
Mabinti hao ambao wanatumia mikono minne na miguu mitatu wamesema kwa sasa wanafuraha ambayo hawajawahi kuwa nayo katika maisha yao baada ya kukutana na mwanaume aliyewapenda kwa mara ya kwanza Mwalimu Jasimuddin Ahmad. 

MSIMAMO LIGI KUU ENGLAND HUU HAPA



KINGEREZA WITOOOO.....CHEKI BROKEN YA SHILOLE HUKO FACEBOOK


SOMA TANGAZO ALILOLIANDIKA MWENYEWE AKIMTAFUTA MSANII WA KUPERFORM KWENYE BIRTHDAY PARTY YAKE..

ALIYEZAMISHWA SULULU KICHWANI APONA KABISA.....


HAKUNA neno jingine la kutumia zaidi ya kusema; KWELI MUNGU MKUBWA! Ni miezi mitano sasa imekatika tangu kusambaa kwa picha mitandaoni zilizomwonesha mwanaume mmoja akiwa ameshindiliwa sululu kichwani hukukisa kikiwa hakijulikani. 

INASIKITISHA NA INAUMA SANA..BABA WA KAMBO AMNYONGA MTOTO KISA WIVU WA MAPENZI.......




Abdulrahman Hamis Clemensi enzi za uhai wake.JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro linamshikilia Zamili Shabani kwa madai ya kumnyonga hadi kumuua mtoto wake wa kambo, (mwaka mmoja na nusu) huku mauaji hayo yakihusishwa na wivu wa mapenzi.

HOUSEGIRL ANUSURIKA KIFO


Msaidizi wa kazi za ndani (hausigeli), Rehema Ally (17), mkazi wa Yombo, Machimbo Mwisho, Ilala jijini Dar, amechanwachanwa kwa wembe na kisu sehemu mbalimbali za mwili wake, hali iliyosababisha alazwe katika Hospitali ya Amana kwa matibabu.

MAUAJI YAENDELEA JIJINI MBEYA


MTU MMOJA MKAZI WA KIJIJI CHA NTOKELA WILAYANI RUNGWE ALIYETAMBULIKA KWA JINA LA CHESCO MAHENGE (41) ALIKUTWA AKIWA AMEUAWA KWA KUCHOMWA NA KITU CHENYE NCHA KALI KICHWANI NA WATU WASIOFAHAMIKA.MWILI WA MAREHEMU ULIKUTWA KANDO YA BARABARA KWENYE MASHAMBA YA CHAI MNAMO TAREHE 07.12.2014 MAJIRA YA SAA 08:00 ASUBUHI HUKO KATIKA KITONGOJI CHA MAPINDUZI, KIJIJI CHA NTOKELA, KATA YA ISONGOLE, TARAFA YA UKUKWE, WILAYA YA RUNGWE, MKOA WA MBEYA.