Friday 5 December 2014

HII NDIO TWEET YA MH.ZITTO KABWE USIKU HUU


HIZI NI TWEETS ZA RAIS KENYATTA MARA BAADA YA KUACHIWA HURU NA ICC


        

MAHAKAMA YA ICC YAMWACHILIA HURU RAIS UHURU KENYATTA


         

MASHABIKI WA BARCELONA WAGOMEA JEZI MPYA


 
   

ZITTO KABWE KURUDI CHADEMA ATOA SHARTI MOJA TU...


Harufu ya kuisha kwa mgogoro baina ya Zitto Kabwe na chama chake cha Chadema inanukia, lakini mbunge huyo wa Kigoma Kaskazini anataka kuwapo na mazungumzo kubaini tatizo ili atakayebainika kuwa alifanya makosa awe tayari kuomba radhi hadharani.

MAMA WA KAMBO ALIYEMCHINJA MTOTO HUKO MARA NAE ACHINJWA.....


Tukio lilitokea hivi karibuni mkoani Mara la mama wa kambo kumchinja mtoto wake kwa kutumia panga hadi kufariki, limechukua sura mpya baada ya mama huyo nae kushambuliwa na wananchi wenye hasira kali kwa kukatwa katwa na mapanga mpaka kufariki.
Tukio la kukatwa katwa mapanga mama huyo limetokea baada ya wananchi wa kijijini hapo walioshikwa na jazba kali kwa kutokubaliana na kitendo cha kinyama alichomfanyia mtoto huyo kwa kumkatishia maisha yake.

MTOTO WA AJABU AZALIWA DODOMA MADAKTARI NA WAUGUZI WAPIGWA NA BUTWAA

MKAZI wa kijiji cha Chibwechangula –Behelo katika wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Ruth Matonya (26) amejifungua mtoto wa ajabu ambaye nusu ya sura yake inafanana na binadamu na nusu ikifanana na chura.

BINTI AOLEWA KWA KILO MBILI TU ZA SUKARI


Mmoja wa wanafunzi walioongoza mtihani wa Taifa wa Darasa la saba mwaka huu mwenye umri wa miaka 16 anadaiwa kuozwa kwa mwanaume mwenye miaka 50 baada ya wazazi wake kupewa sukari kilo mbili kama mahari.Kutokana na hali hiyo mtandao wa kuelimisha jamii kuhusu ukeketeji Mkoani Kilimanjaro NAFGEM umefanya jitihada za kumuokoa pamoja na wanafunzi wengine15 waliotaka kufanyiwa vitendo vya ukeketaji kwa ngariba.