Thursday 4 December 2014

‘Mrwanda chaguo langu’

Dar es Salaam. Kocha mkuu wa Simba, Patrick Phiri amemrudisha kundini mshambuliaji Danny Mrwanda akieleza kuwa ndiye alikuwa chaguo lake.

Tayari, Mrwanda amepewa na uongozi wa klabu hiyo mkataba wa miezi sita huku kocha huyo Mzambia akiwa hana mpango na kiungo mshambuliaji raia wa Gambia, Omary Mboom.

Phiri alieleza jana kuwa roho yake imesuuzika baada ya Mrwanda kupewa mkataba wa miezi sita wa kuichezea Simba.

Jumatatu iliyopita, Mrwanda alisaini kuichezea timu hiyo ya Mtaa wa Msimbazi huku Phiri akisikitika kumkosa mshambuliaji mwingine wa zamani wa klabu hiyo, Mussa Hassan ‘Mgosi’ aliyeko Mtibwa Sugar.

Phiri aliliambia gazeti hili jana kuwa anamfahamu Mrwanda kwa muda mrefu, yeye ni mshambuliaji mwenye uwezo mkubwa, amefurahi kumpata, atamsaidia kwenye safu ya ushambuliaji.

“Natarajia kuwa na safu nzuri ya ushambuliaji baada ya kumpata Mrwanda pia Danny

MFAHAM ZARI (The boss lady) KIUNDANI...



DAMU NZITO..BAADA YA MIAKA 35 BABA WA ROSE NDAUKA AJITOKEZA..

MAGAZETI YA HABARI ZA KITAIFA NA KIMATAIFA

MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI

MAGAZETI YA UDAKU LEO DISEMBA 4

BAADA YA DIAMOND KUTWAA TUZO 3 CHANNEL O PRODUCER WAKE AANZA KUTOA MALALAMIKO


Producer wa hits mbili za Diamond Platnumz ‘Number One’ na ‘Ntampata Wapi’ alionekana kufurahia mafanikio ya Diamond kwenye tuzo za Channel O, lakini kitu kimoja hakijakaa sawa moyoni mwake hivyo ameamua kutoa lake la rohoni...

MGOGORO WA MPAKA KATI YA TANZANIA NA MALAWI..HALI BADO NI TETE



Kile kilichoonekana kuanza kama mzaha kati ya Tanzania na Malawi kuhusu umiliki wa Ziwa Nyasa, sasa kimeanza kuchukua sura mpya kwa kila nchi kuendelea kutekeleza kitu inachokiamini kuwa ni sahihi.