Thursday 4 December 2014

MAGAZETI YA HABARI ZA KITAIFA NA KIMATAIFA

MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI

MAGAZETI YA UDAKU LEO DISEMBA 4

BAADA YA DIAMOND KUTWAA TUZO 3 CHANNEL O PRODUCER WAKE AANZA KUTOA MALALAMIKO


Producer wa hits mbili za Diamond Platnumz ‘Number One’ na ‘Ntampata Wapi’ alionekana kufurahia mafanikio ya Diamond kwenye tuzo za Channel O, lakini kitu kimoja hakijakaa sawa moyoni mwake hivyo ameamua kutoa lake la rohoni...

MGOGORO WA MPAKA KATI YA TANZANIA NA MALAWI..HALI BADO NI TETE



Kile kilichoonekana kuanza kama mzaha kati ya Tanzania na Malawi kuhusu umiliki wa Ziwa Nyasa, sasa kimeanza kuchukua sura mpya kwa kila nchi kuendelea kutekeleza kitu inachokiamini kuwa ni sahihi.

KOREA KASKAZINI YAISHUTUMU MAREKANI KWA KUTENGENENZA NA KUSAMBAZA VIRUSI VYA EBOLA BARANI AFRIKA


Koreas Kaskazini imeishutumu Marekani kwa kusambaza makusudi virusi vya ugonjwa wa Ebola na kwamba inatengeneza silaha hiyo ya kibailojia ili kuwa taifa lenye nguvu zaidi duniani.

CHELSEA NOMA....YAICHAPA TOTTENHAM 3-0.....

 

LHRC YASIKITISHWA NA KAULI YA PINDA KUWA HANA UHAKIKA FEDHA ZA ESCROW NI ZA NANI..


Kituo cha sheria na haki za binadamu kimesema kimesikitishwa na kauli aliyoitoa waziri mkuu Mh Mizengo Pinda bungeni wakati akiahirisha bunge kuwa hakuna uhakika kwamba fedha zilizokuwa katika akaunt ya Escrow kama ni za serikali ama la jambo ambalo amesema kwa kufanya hivyo ni kutaka kuwalinda waliohuska katika wizi huo.