Friday 28 November 2014

MH.KANGI LUGOLA AVAA KININJA BUNGENI ILI ASIWATAZAME WAHUSIKA WA SAKATA LA ESCROW

HUYU NDIO DEMU MREMBO KULIKO WOOOOOOOTE DUNIANI KWA WAKATI HUU.......CHEKI MAFOTO YAKE


                                    Mwanamke Mzuri Kuliko Wote Duniani Kwa Mwaka 2013

Huyu sio mwingine bali ni Malkia wa Saudi Arabian, aitwae Fatima Zohar-Godabari.

Fathima Kulsum Zohar Godabari ambaye awali alikuwa kwenye familia ya kifalme kwa sasa yeye ndie Malkia wa Saudi Arabia.
Hivi karibuni alipigwa picha bila kuwa amevaa niqab ikiwa imefunika uso wake, na picha hizo kuchapishwa kisha kusambazwa kwenye mitandao, zikionyesha uzuri wa sura yake duniani ikiwa ni mara ya kwanza.

Toka picha hizo zitoke, watu wengi wamekuwa wakimtaja kuwa ndiye mwanamke mzuri duniani kwa sasa.
Cheki picha zake hizi hapa chini lazima utakubali.......

DIAMOND NA ZALI WAUMBUKAAAAAAA.....


Nasibu Abdul ‘Diamond’ na Zarinah Hassan wakibusiana kimahaba.
Licha ya madai wanayoyatoa mastaa wawili hot kwa sasa, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na Zarinah Hassan a.k.a Zari au The Boss Lady kuwa si wapenzi bali kuna project wanaifanya, wawili hao wameumbuka.

MAGAZETI YA KIBONGO YA LEO

MAGAZETI YA MICHEZO NA UDAKU LEO HII

UNICEF KUJENGA MAHAKAMA YA WATOTO MKOANI MBEYA


Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia watoto Duniani UNICEF limeahidi kusaidia ujenzi wa Mahakama ya watoto Mbeya kutokana na Mkoa huo kukidhi viwango vya uanzishwaji wa Mahakama hiyo ambapo hii itakuwa ni Mahakama ya pili kwa Tanzania, nyingine ikiwa ni Mahakama ya Kisutu Dar.

VIONGOZI WA AFRIKA WAASWA KUACHA KUNG'ANG'ANIA MADARAKA


Raisi wa Ufaransa Francois Hollande amewapa somo viongozi wa bara la Afrika,kwamba wanapaswa kujifunza kwa yale yaliyotokea nchini Burkinafaso na sio kung'ang'ania madarakani.

Kauli ya raisi Hollande imetoka katika mkutano wa nchi zinazozungumza kifaransa ,unaofanyika nchini Senegal,na kutolea mfano kwa kile kilichomkuta na kumuondoa madarakani Blaise Compaore na kutilia mkazo suala la katiba kuheshimiwa.

NCHI NYINGI ZA AFRICA KUTOFIKIA MALENGO YA MILLENIA


Nchi nyingi za bara la Afrika hazitaweza kufikia malengo ya milinia ifikapo mwaka 2015 kutokana na mwanya uliopo kati ya uchumi na maendeleo ya kibinadamu. Haya ni kwa mujibu wa ripoti ya kila mwaka ya Umoja wa Mataifa juu ya nchi zenye maendeleo madogo, iliyowasilishwa Alhamisi.

Licha ya kukua kwa uchumi barani Afrika nchi nyingi hazitafikia malengo ya milinia (MDGS) mwakani. Afisa wa maswala ya kiuchumi kwa Afrika katika Umoja wa Mataifa Junior Davis anasema nchi nyingi za Afrika  hazijaweza  kutumia maendeleo ya kiuchumi kufanya mabadiliko  katika sekta zake za miundo mbinu.