Monday, 9 February 2015

BAADA YA RAIS MUGABE KUANGUKA,HIKI NDICHO KINACHOENDELEA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII...


  Raisi wa Zimbabwe Robert Mugabe, 90, alianguka mpaka chini mara tu baada ya kumaliza speech aliyokuwa akiitoa kwa wafuasi wake waliokuja kumpokea airport  baada ya safari yake kutoka Ethipia, ijumaa iliyopita.

                         


Mugabe ameanguka baada ya kukosea ngazi alipokuwa akishuka tayari kwa kuingia kwenye gari lake.
                          

Baada ya picha hizo kusambaa, maraia wakaanza kazi yao ya kutengeneza memes zilizozagaa katika mitandao ya kijamii. hizi ni baadhi tu ya picha hizo..

INASIKITISHA: BABU,BIBI,WATOTO NA WAJUKUU WATEKETEA KWA MOTO JIJINI DAR...

Watu sita wa familia moja akiwamo Kapteni mstaafu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi (JWTZ), wamekufa papo hapo baada ya kuteketezwa kwa moto  jijini Dar es Salaam.

Janga hilo la moto limetokea jana saa 10:30 alfajiri katika eneo la Kipunguni A, Ukonga Banana, wilayani Ilala.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Mary Nzuki alisema kuwa moto huo ulizuka ghafla katika nyumba inayomilikiwa na mstaafu huyo wa Jeshi, David Mpira anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 55 na 60.  

IVORY COAST BINGWA AFCON 2015


                           

Mabingwa wapya wa Kombe la Mataifa Afrika 2015, Ivory Coast wakipozi na kombe leo. 
Straika wa Manchester City, Wilfried Bony akiwa amembeba shujaa wa Ivory Coast Boubacar Barry (katikati), aliyefunga penalti ya mwisho. 
Nahodha wa Ivory Coast, Yaya Toure akifurahia ubingwa.
  

Patashika wakati wa fainali hiyo...  

NDUGU WA MBASHA WAKAA KIKAO KIZITO, WAKIKATAA KICHANGA CHA FLORA

SIKU chache baada ya kuibuka utata mkubwa juu ya kichanga cha kike cha mwimba Injili maarufu Bongo, Flora Mbasha huku mitandao ya kijamii ikieleza kwamba baba wa mtoto huyo si aliyekuwa mume wa mwanamuziki huyo, Emmanuel Mbasha ‘Ima’, familia ya mwanaume huyo inadaiwa kufanya kikao kizito jijini Dar ili kupata ufumbuzi..  

PICHA ZA NGONO ZA NAY WA MITEGO,ZASABABISHA ASUSIWE KICHANGA NA MCHUMBA AKE SIWEMA...

 Picha za ngono zilizozagaa katika mitandao ya kijamii za Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, zikimuonesha akifanya ufuska na mrembo chumbani zimemliza mchumba’ke, Siwema ambaye ameamua kumsusia mtoto wao mchanga.  

Wednesday, 4 February 2015

KITUO KINGINE CHA POLISI CHAVAMIWA,SILAHA NA NYARAKA ZAIBWA..

   
 
 Kamanda Leonard Paulo. 

Wimbi la uvamizi na uporaji wa silaha kwenye vituo vya polisi limeendelea kushamiri safari hii likiamia mkoani Morogoro kwa kituo kidogo cha Polisi Mngeta, kilichopo Wilaya ya Kilombero, kuvamiwa na kuporwa bunduki moja aina ya SMG na magazine moja yenye risasi 30. 

IRENE UWOYA KUOLEWA NA JAGUAR HIVI KARIBUNI...

Irene Uwoya amesema ingawa Jaguar alishindwa kuja kuzungumza na wazazi wake kuhusu ndoa yao, bado wanawasiliana vizuri na kila kitu kipo sawa.  

Monday, 2 February 2015

KIBIBI KIZEE ANAYESADIKIWA KUWA NI MCHAWI AANGUKA KUTOKA ANGANI,CHAWARUSHIA WANANCHI MAHELA...


KATIKA hali ya kushangaza, bibi kizee anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka (70), asiyejulikana jina wala makazi yake, ameanguka akiwa uchi wa mnyama nyumbani kwa Suzana Mwandu, mkazi wa Mtaa wa Mageuzi mkoani Shinyanga.
Tukio hilo lilitokea juzi ambapo bibi huyo baada ya kuanguka alianza kutembelea makalio bila kuzungumza chochote jambo ambalo limedaiwa ni ushirikina. 

HUYU NDIO MASOGANGE,HAPANA CHEZEA YEYE....

MTOTO KAJAZIA KWA MPANGILIO,SHINGO INAONEKANA IKO WAPI,KIFUANI HATARI TUPU,TUMBO LAJULIKANA LILIPO,KIUNO KKILEEEEE,VILIVYOBAKI CHINI YA KIUNO ANGALIA MWENYEWE NI HATAREEEEEEEEE....

WILFRED BONY AIPELEKA NUSU FAINALI IVORY COAST ALGERIA YAFA 3-1..


                          

Hatimaye Wilfried Bony ameondoa ukame wake wa magoli kwenye michuano ya kombe la mataifa ya Afrika (AFCON) baada ya kuifungia Ivory Coast mabao mawili katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Algeria. 

GARETH BALE AONJA MACHUNGU YA MASHABIKI WA REAL MADRID KWA TABIA YAKE YA UCHOYO WA PASI..

 
Gareth Bale amekutana tena na adha za mashabiki wa Real Madrid baada ya kuzomewa na wanazi hao kwa kumnyima pasi mchezaji mwenzake.
Hata hivyo Bale aliwajibu kishujaa kwa kutoa pande zuri kwa Karim Benzema lililozaa moja ya magoli katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Real Sociedad Jumamosi jioni.  

DIAMOND AMJIBU EX WA ZARI KWA VITENDO

Diamond akiwa kwenye baiskeli huku Zari akiwa kwenye BMW X6. 
Baadhi ya post za King Lawrence Instagram akimkejeli Diamond. 

Saturday, 31 January 2015

ROBERT MUGABE ATEULIWA KUWA MWENYEKITIBWA UMOJA WA AFRIKA "AU"..

Rais mkongwe wa Zimbabwe Robert Mugabe, ameteuliwa kuwa mwenyekiti wa Muungano wa Afrika AU akichukua nafasi ya Mohamed Ould Abdel Aziz wa Mauritania.
  Mugabe mwenye umri wa miaka 90 ameteuliwa kwa kauli moja na Wajumbe katika mkutano wa AU unaoendelea kwa sasa mjini Addis Ababa-Ethiopia.

LEMA: NATAMANI KWENYE AMRI ZA MUNGU IONGEZWE YA 11,ISEMAYO "USIWE CCM"..


   
 Wabunge wameendelea kuchangia taarifa za Kamati za Hesabu za Serikali PAC na LAAC zinazoonesha ubadhilifu mkubwa wa fedha za umma. Hapa  chini nimekuwekea  michango  ya  baadhi  ya  Wabunge.

Lema: Haiwezekani kila siku tukija humu tunazungumzia wizi tu, inatakiwa tuzungumzie mipango ya maendeleo ya wananchi sio kila siku wizi wizi wizi unaosababishwa na CCM..

BABA AJIUA BAADA YA KUONA PICHA ZA UCHI ZA BINTI YAKE


                         

Wazazi wamekua na nafasi kubwa sana katika malezi ya watoto wao hata wakati  wanapokuwa watu wazima lakini baba huyu kutokana na upendo kwa mwanaye aliamua kujiua baada ya kuona picha za mtoto wake alizopiga akiwa mtupu katika jarida la Playboy....

Thursday, 29 January 2015

HUYU NDIYE MTANGAZAJI MWENYE SHEPU KAMA KALIMATI TANZANIA

MTANGAZAJI wa kituo cha Redio Times, Hadija Shaibu ‘Dida’, juzikati aliamua kutoa siri yake ya moyoni na kuweka wazi juu ya tabia yake ya kuachika na kupata mume mpya mara kwa mara.Aliweka bayana kwamba anaachika na kupata mwanaume mpya haraka kwa sababu ana shepu ya kalimati (aina ya andazi linalonona).  

SHILOLE AMTANDIKA MAKOFI NUH MZIWANDÀ AWAOMBA RADHI MASHABIKI WAKE....


      

Baada ya kuzuka tetesi kuwa alimdunda vibao mchumba wake Nuh Mziwanda, Shilole amelazimika kuomba radhi.
Shilole amewaomba radhi mashabiki wake kwenye mtandao wa Instagram kwa kupost picha akiwa na mpenzi wake huyo na kuandika:
“Huyu hapa mjanja wangu mimi, daah nimekamatika hapa, na naamini ni mwanaume sahihi kwangu maana hawezagi kurusha hata ngumi japo namchokozaga mie mjeuri tu, mnao muhandama mme wangu mmeshindwa, kugombana ni kawaida sana kwenye mapenzi na kama nliwaudhi mashabiki wangu mnisamehe mie nampenda mme wangu.” 

Wednesday, 28 January 2015

GHANA YAICHAPA AFRICA KUSINI 2-1:YATINGA ROBO FAINALI AFCON

                             
Ghana ilitoka nyuma ikiwa kwenye hatari ya kuaga michuano na kutumia dakika 17 za mwisho kuilaza Afrika Kusini 2-1 na kutinga robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon).
Katika mchezo huo uliopigwa Jumanne, mabingwa hao wa mara nne, wakaonyeshwa mlango wa kuagia mashindano baada ya mkwaju mkali wa Mandla Masango kuipatia bao Afrika Kusini kunako dakika ya 17.
Lakini Ghana wakafanikiwa kugeuza matokeo katika kipindi cha pili cha mtanange huo uliochezwa kwenye dimba la Mongomo Stadium. 

CHELSEA YAICHAPA LIVERPOOL,YATINGA FAINALI CAPITAL ONE CUP


                     

Chelsea imeifunga Liverpool 1-0 na kutinga fainali ya Capital One Cup kwa jumla ya bao 2-1 kufuatia sare ya 1-1 katika mchezo wa kwanza wiki iliyopita.
Hata hivyo mpira huo ilibidi uchezwe kwa dakika 120 baada ya timu hizo kumaliza dakika 90 za kawaida bila kufungana.
Dakika ya 4 tu ya dakika 30 za ‘Extra Time’ beki Branislav Ivanovic akaifungia Chelsea bao pekee baada ya kuunganisha kwa kichwa krosi ya mpira wa adhabu uliopigwa na Willian.  

HII NDIO ORODHA YA PASSWORD ZILIZOVUJA ZAIDI NA ZILIZITUMIWA NA WEZI WENGI WA MITANDAO 2014,TAZAMA KAMA YAKO IPO..


Hivi karibuni tumesikia watu wengi wakiwemo wasanii wakilamika juu ya account zao pamoja na simu kuvamiwa na wezi wa mitandaoni, watafiti wanasema matumizi ya password dhaifu pia huchangia account hizo kuvamiwa, au wengine kutumia password moja kwenye account zaidi ya moja ikiwemo email, simu na mitandao ya kijamii.